Kuna tatizo gani kwa msichana kutaka kunenepa? Maana naona wengi wananishangaa

Kuna tatizo gani kwa msichana kutaka kunenepa? Maana naona wengi wananishangaa

Huyu anaongelea Jokate wa kwenye TV ....lakini kenyewe live kako kiduchuu...
Watu wengi ukiwaona kwenye tv unafikiri watu basi, kumbe vimtu. Siku moja niko bar flan mchana napata chakula wakaja watu wa Mizengwe, aisee yani kwenye tv wanaonekana wakubwa, nilivyowaona nikashangaa sana, ni wadogo balaa.

Juzi juzi hapa nilibahatika kuonana na waziri mmoja, kwenye tv anaonekana mkubwa, live nikamuona mdogo sana. Vile vile hata Mukulu nilimuona live hivi majuzi sikutegemea kama hua yuko vile.

Ila jokate hata kwa tv anaonekana ni mdogo, ni mbegu mbaya, sidico.
 
Wapendwa mambo zenu
Natumai kila mtu yuko poa

Jamani mimi nina mwili wa kawaida ila ni mrefu (size kama ya jokate) ambao huwa unapungua ila haujawahi kuongezeka kuwa vile ambavyo mimi napenda niwe. Mimi napenda kuwa mnene lakini mnene wa kawaida nisishangaze watu na mwili wangu uwe na muelekeo sio nyama zitune tuu bila mpangilio hata nguo zishindwe kunipendezesha jaman.

Ila kinachonishangaza ni kwamba watu wengi wanaonifahamu wananiona kama vile siko sawa kwa kupenda kuwa mnene.

Kwani kuna kosa gani jaman la mtu kutaka kuwa na mwili wenye nyama zilizonona vizuri? Je nakosea kwa kutaka kuongeza mwili wangu.

Na anayejua namna ninavyoweza kufanya ili noingeze mwili wangu anisaidie maarifa maana hili jambo sidhani kama litaweza kuondoka akilini mwangu mpk nilikamilishe.

Nataka kuwa kama huyu

View attachment 636275
kula bagga saana chips xa kutosha utakuwa kama huyo halafu utaleta Uzi kwa kuomba kunguza unene
 
Watu wengi ukiwaona kwenye tv unafikiri watu basi, kumbe vimtu. Siku moja niko bar flan mchana napata chakula wakaja watu wa Mizengwe, aisee yani kwenye tv wanaonekana wakubwa, nilivyowaona nikashangaa sana, ni wadogo balaa.

Juzi juzi hapa nilibahatika kuonana na waziri mmoja, kwenye tv anaonekana mkubwa, live nikamuona mdogo sana. Vile vile hata Mukulu nilimuona live hivi majuzi sikutegemea kama hua yuko vile.

Ila jokate hata kwa tv anaonekana ni mdogo, ni mbegu mbaya, sidico.
Na saiv kanenepa hee anafanana km kapipa makeup na camera zinawasaidia sana
 
Inategemea na kunenepa kwa kiasi gani. Unene ukipitiliza si mzuri ni chanzo cha kukaribisha magonjwa mengi ya hatari ambayo yanaweza kabisa kukupeleka kuzimu.

Wapendwa mambo zenu
Natumai kila mtu yuko poa

Jamani mimi nina mwili wa kawaida ila ni mrefu (size kama ya jokate) ambao huwa unapungua ila haujawahi kuongezeka kuwa vile ambavyo mimi napenda niwe. Mimi napenda kuwa mnene lakini mnene wa kawaida nisishangaze watu na mwili wangu uwe na muelekeo sio nyama zitune tuu bila mpangilio hata nguo zishindwe kunipendezesha jaman.

Ila kinachonishangaza ni kwamba watu wengi wanaonifahamu wananiona kama vile siko sawa kwa kupenda kuwa mnene.

Kwani kuna kosa gani jaman la mtu kutaka kuwa na mwili wenye nyama zilizonona vizuri? Je nakosea kwa kutaka kuongeza mwili wangu.

Na anayejua namna ninavyoweza kufanya ili noingeze mwili wangu anisaidie maarifa maana hili jambo sidhani kama litaweza kuondoka akilini mwangu mpk nilikamilishe.

Nataka kuwa kama huyu

View attachment 636275
 
Okay magonjwa kama ya moyo na blood pressure ambayo mara nyingi chanzo chake ni unene uliopitiliza yanaweza kabisa kusababisha kifo jje.

Kuzimu tena!? Kwani unene ni dhambi?
Nieleweshe kidogo mkuu
 
Okay magonjwa kama ya moyo na blood pressure ambayo mara nyingi chanzo chake ni unene uliopitiliza yanaweza kabisa kusababisha kifo jje.
Hapo nakubali kifo kinakuwa karibu na si kuzimu.
Unajua mie mnene so niliogopa hapo kuzimu
Ila kifo hapo naelewa sasa.
Asante Mkuu
 
Uko sawa kabisa si wanene wote wanakuwa na magonjwa hayo. Na wengine hujitahidi kufanya mazoezi na kula health food ili kujaribu kuyaepuka. [emoji1431][emoji1417]

Hapo nakubali kifo kinakuwa karibu na si kuzimu.
Unajua mie mnene so niliogopa hapo kuzimu
Ila kifo hapo naelewa sasa.
Asante Mkuu
 
Hakika, mm bila kuwa na zile nyama nyama kwa ajili ya mr. Naona kama anashika vimfupa
Teh
Uko sawa kabisa si wanene wote wanakuwa na magonjwa hayo. Na wengine hujitahidi kufanya mazoezi na kula health food ili kujaribu kuyaepuka. [emoji1431][emoji1417]
 
Wapendwa mambo zenu
Natumai kila mtu yuko poa

Jamani mimi nina mwili wa kawaida ila ni mrefu (size kama ya jokate) ambao huwa unapungua ila haujawahi kuongezeka kuwa vile ambavyo mimi napenda niwe. Mimi napenda kuwa mnene lakini mnene wa kawaida nisishangaze watu na mwili wangu uwe na muelekeo sio nyama zitune tuu bila mpangilio hata nguo zishindwe kunipendezesha jaman.

Ila kinachonishangaza ni kwamba watu wengi wanaonifahamu wananiona kama vile siko sawa kwa kupenda kuwa mnene.

Kwani kuna kosa gani jaman la mtu kutaka kuwa na mwili wenye nyama zilizonona vizuri? Je nakosea kwa kutaka kuongeza mwili wangu.

Na anayejua namna ninavyoweza kufanya ili noingeze mwili wangu anisaidie maarifa maana hili jambo sidhani kama litaweza kuondoka akilini mwangu mpk nilikamilishe.

Nataka kuwa kama huyu

View attachment 636275
Shosti hilo umbo ni kazi ya genes(vinasaba). Kama kwenye familia yenu hakuna vinasaba hivyo hutaweza kupata umbo hilo. Anyway, nisikukatishe tamaa, kazania kula na kunywa sana.Kula ugali mwingi, kila siku jioni pata bia mbili au tatu(kama wewe u mnywaji), baada ya miezi miwili utaanza kuona nguo zako uzipendazo zinakukataa.Mie nilifanyaga hivyo 2004-2006 nikawa bonge mpaka watu wakanisahau
 
Yaani utoke ujoketi mpaka huyo kibonge, mwambie jamaa atafute mwingine tu.
 
Muulize huyo mjanja wako anapenda nini, usije ukapoteza sifa aliyokupendea
 
Naona unaelekea upande ambao dunia kwasasa inajitahid kuacha,hiv hujiuliz y gym zmekua nying skuhiz,...kiufup mdada ukishakua bonge u sexy unapungua.manake miziwa itakua mikubwa sana,kitambi pia pia kuanzia kiunon kuja had kwenye mapaja patakua na minyama nyama ambayo mim bnafs hua nikishampiga cha kwanza namwona mvuto hakuna,kipotabo bwana aisee ukikavua ngua yaan ile pichu ilivyojichonga yaan hapo hapo unasimama
 
Wapendwa mambo zenu
Natumai kila mtu yuko poa

Jamani mimi nina mwili wa kawaida ila ni mrefu (size kama ya jokate) ambao huwa unapungua ila haujawahi kuongezeka kuwa vile ambavyo mimi napenda niwe. Mimi napenda kuwa mnene lakini mnene wa kawaida nisishangaze watu na mwili wangu uwe na muelekeo sio nyama zitune tuu bila mpangilio hata nguo zishindwe kunipendezesha jaman.

Ila kinachonishangaza ni kwamba watu wengi wanaonifahamu wananiona kama vile siko sawa kwa kupenda kuwa mnene.

Kwani kuna kosa gani jaman la mtu kutaka kuwa na mwili wenye nyama zilizonona vizuri? Je nakosea kwa kutaka kuongeza mwili wangu.

Na anayejua namna ninavyoweza kufanya ili noingeze mwili wangu anisaidie maarifa maana hili jambo sidhani kama litaweza kuondoka akilini mwangu mpk nilikamilishe.

Nataka kuwa kama huyu

View attachment 636275
Kunenepa ni rahisi sana, ila jiandae kisaikolojia maana mwili bonge una matatizo yake, hata kutawaza tu ni shida kubwa. Waatu watakupenda ukiwa na nguo, na ukiwa uchi uwe tayari kuinamishwa mara zote, maana wengi wa wanaopenda mabonge wanapenda matak0, na ili mtu alifaidi tako lazima alishike alimeng'enyue akishamwaga anakuchukia vibaya anakuona majasho tu na unatia kinyaa, mpaka **** imsimame tena ndiyo akupende. Unene utauchoka haraka sana, na itakubidi ufanye kazi ngumu sana kuuondoa, na pengine isiwezekane tena. Fikiria vizuri
 
Back
Top Bottom