Kuna tatizo gani kwa msichana kutaka kunenepa? Maana naona wengi wananishangaa

Kuna tatizo gani kwa msichana kutaka kunenepa? Maana naona wengi wananishangaa

Kama huyu.
4eba7b57a5dc83b648f6ac18906458fb.jpg
678a70904f9d3d445dab979c1b4f961b.jpg
 
Una tatizo la kutokuridhika na hali yako...mara tu utakopojisahaulisha na kinachokukera utanenepa sana.
Au kuwa unakula mtori kila siku saa nne asubuhi kwa mwezi mmoja tu utajikuta kila sehemu imefumuka hadi kitumbua kitahamia nyuma.
 
Back
Top Bottom