Naisujaki Lekangai JF-Expert Member Joined Aug 19, 2012 Posts 1,340 Reaction score 1,377 Nov 26, 2017 #62 jje's said: Tsicha tupu, mfiri se ritcha na mndeni samshika Click to expand... Samahani, ngoja nijipachike na kufanya mazoezi ya kichaga nilichofundishwa na SHIEKA Kokaa ulaore nauli noshaa!
jje's said: Tsicha tupu, mfiri se ritcha na mndeni samshika Click to expand... Samahani, ngoja nijipachike na kufanya mazoezi ya kichaga nilichofundishwa na SHIEKA Kokaa ulaore nauli noshaa!
wilbald JF-Expert Member Joined Dec 17, 2007 Posts 1,810 Reaction score 1,377 Dec 2, 2017 #63 Una tatizo la kutokuridhika na hali yako...mara tu utakopojisahaulisha na kinachokukera utanenepa sana. Au kuwa unakula mtori kila siku saa nne asubuhi kwa mwezi mmoja tu utajikuta kila sehemu imefumuka hadi kitumbua kitahamia nyuma.
Una tatizo la kutokuridhika na hali yako...mara tu utakopojisahaulisha na kinachokukera utanenepa sana. Au kuwa unakula mtori kila siku saa nne asubuhi kwa mwezi mmoja tu utajikuta kila sehemu imefumuka hadi kitumbua kitahamia nyuma.