Kuna tatizo Halmashauri ya Jiji la Dodoma la watumishi wengi kulipwa mshahara bila kufanya kazi

Kuna tatizo Halmashauri ya Jiji la Dodoma la watumishi wengi kulipwa mshahara bila kufanya kazi

Maseto

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
944
Reaction score
545
Nimekuwa nafuatilia mwenendo wa utendaji kazi kwa watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Watumishi wengi wanakaa nyumbani bila kwenda Kazini au wanaenda kuripoti asubuhi na kuingia mitaani kufanya shughuli zao binafsi.

Nampongeza JPM kwa kutokutoa vibali vya kuajiri watumishi wapya isipokuwa kada adimu kama vile za afya au walimu.

Hizi kada zingine watumishi wanakaa bure bila kazi kwenye taasisi.
 
Kumbe wanafanya shughuli zao kujiongezea chochote, wewe umekuja huku mbio hadi miguu inataka kukuvunjika kuja kuwachongea. Achana na mambo hayo ya fitina kwa wengine.
 
Kwahiyo kwakua we unaajira/biashara unataka wenye uhitaj wa ajira waendelee kukosa kisa kuna watu hawawajibiki? Kwann usingeshauri wachukuliwe hatua na nafas zao zichukuliwe na wenye uhitaji
 
Kwahiyo kwakua we unaajira/biashara unataka wenye uhitaj wa ajira waendelee kukosa kisa kuna watu hawawajibiki? Kwann usingeshauri wachukuliwe hatua na nafas zao zichukuliwe na wenye uhitaji
Shangaa na wewe.
 
Una ushahidi na ukisemacho?au unaropoka tuh na kuleta majungu.?
 
Nimekuwa nafuatilia mwenendo wa utendaji kazi kwa watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Watumishi wengi wanakaa nyumbani bila kwenda Kazini au wanaenda kuripoti asubuhi na kuingia mitaani kufanya shughuli zao binafsi.

Nampongeza JPM kwa kutokutoa vibali vya kuajiri watumishi wapya isipokuwa kada adimu kama vile za afya au walimu.

Hizi kada zingine watumishi wanakaa bure bila kazi kwenye taasisi.
Pepo wa upumbavu na ulofa toka
Unafanya kazi sawasawa na unavyolipwa .
Hii serikali haina shukrani.
Inawatambua watumishi wa idara za ulinzi na usalama tu.
Nasisitiza, fanya kazi kwa kadri unavyolipwa.
 
Nimekuwa nafuatilia mwenendo wa utendaji kazi kwa watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Watumishi wengi wanakaa nyumbani bila kwenda Kazini au wanaenda kuripoti asubuhi na kuingia mitaani kufanya shughuli zao binafsi.

Nampongeza JPM kwa kutokutoa vibali vya kuajiri watumishi wapya isipokuwa kada adimu kama vile za afya au walimu.

Hizi kada zingine watumishi wanakaa bure bila kazi kwenye taasisi.
Unashida kwenye ubongo wewe si bure!
 
Back
Top Bottom