Kuna tatizo Halmashauri ya Jiji la Dodoma la watumishi wengi kulipwa mshahara bila kufanya kazi

Kuna tatizo Halmashauri ya Jiji la Dodoma la watumishi wengi kulipwa mshahara bila kufanya kazi

Na hiki ndicho kinapaswa kufanywa na watumishi wote wa Umma, asante watumishi wa Dodoma. Mtu ana miaka mitano kwenye ajira leo , baada ya miaka mitano unapata punguzo la kodi elfu 30 tu huku gharama za maisha zikipanda kila sekunde. Ukipata fursa nenda kafanye yako we mtumishi hii serikali haina huruma na wewe.
 
Nimekuwa nafuatilia mwenendo wa utendaji kazi kwa watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Watumishi wengi wanakaa nyumbani bila kwenda Kazini au wanaenda kuripoti asubuhi na kuingia mitaani kufanya shughuli zao binafsi.

Nampongeza JPM kwa kutokutoa vibali vya kuajiri watumishi wapya isipokuwa kada adimu kama vile za afya au walimu.

Hizi kada zingine watumishi wanakaa bure bila kazi kwenye taasisi.
Uyo JPM amewaongrzea mishahara hao watumishi? Amewalipaa malimbikizo ya madai yao?

Wewe inaonekana ni jobless na pia una wivu wakike
 
hupaswi kuyasema ulo yasema sababu hata mkulu mwenyewe ana wasifu wafanyakazi kwa kuchapa kazi awamu yake hii hadi makusanyo yame ongezeka,kwa hiyo tulia tuu.
 
Sina tatizo lolote binafsi.Napongeza kutokuajiri kwa sababu wangeenda kurundikana bila kazi

Utakuwa una roho mbaya Sana....
Kwa kusema ajira mpya zisiwepo, elewa kwamba ajira zikiwepo ht ndugu zako wataajiriwa.

Punguza roho ya kwanini na roho ya korosho...
 
Kama analofanya haliathiri utendaji kazi wake tatizo hakuna.
Sasa hawa watu huwa wanabaki nyumbani Wakati huko ofisini Kuna watu wengi wanasubiri huduma Kutoka kwao.
Hivi siyo sawa.
Kuna watu wanacheleweshwa kwa dhana serikali haina shukrani.
 
Kuweka utawala unaoheshimu sheria itakua kazi ngumu sana. Kabla ya ajira kutangazwa lazima kuwe na uhitaji.

Muajiriwa anaelezwa kazi na majukumu yake ya kila siku.
Anakuwa na line manager ambae anawajibika kumfanyia appraisal kila mwaka kuangalia utendaji wake wa kazi kama una ufanisi.

Tatizo line manager mwenyewe hawajibiki.
 
Hommie huyu mke wetu nadhani kapata mchepuko wa kisukuma...
Atakuwa nani yarabi,,

Sema maisha haya kama watendaji wanaacha ofisi watu wanakosa huduma hiyo sio sawa kabisa. Lugha za "ametoka kidogo" zinachosha.

Sema nikikuta hivyo nampandia mkurugenzi anihudumie yeye.
 
Atakuwa nani yarabi,,

Sema maisha haya kama watendaji wanaacha ofisi watu wanakosa huduma hiyo sio sawa kabisa. Lugha za "ametoka kidogo" zinachosha.

Sema nikikuta hivyo nampandia mkurugenzi anihudumie yeye.
Mkurugenzi naye utaambiwa yuko kwenye kikao.... Kumbe ako gesti na mke wa mtu
 
Back
Top Bottom