Kuna tatizo uongozi wa mwendokasi (BRT)

Kuna tatizo uongozi wa mwendokasi (BRT)

Nahisi kwa jinsi mazingira yetu yalivyo,train ingekua headache zaidi maana ikiondoka usubiri irudi.. Hata zikiwa mbili zinapishana bado ingekua shida sana ukizingatia mavituo yenyewe yapo jirani, kwa mtazamo wangu mabasi nadhani ni sawa ila usimamizi ndio sio poa
Uzuri wa train system inaweza kupokea abiria wengi kwa wakati mmoja na pia zinaenda umbali mrefu let's say ingeweza kufika hadi dodoma au Morogoro. The issue is the infrastructure system ambayo ni high maintenance kutokana na ubovu wa mabasi ya mwendokasi, poor coordination pamoja na miundombinu ya malipo
 
Uzuri wa train system inaweza kupokea abiria wengi kwa wakati mmoja na pia zinaenda umbali mrefu let's say ingeweza kufika hadi dodoma au Morogoro. The issue is the infrastructure system ambayo ni high maintenance kutokana na ubovu wa mabasi ya mwendokasi, poor coordination pamoja na miundombinu ya malipo
Hadi Dodoma? Sasa hiyo ingekuwa ni commuter train au nini?
 
Posho zenyewe za watu wale wa mjengoni labda na ma-manager wa vitengo lakini si kada ya chini wao huwa ni msoto tu.
Hao ma-manager ndio wasimamizi wakuu wa hii miradi.

Kwa hiyo wanajali chao, hawana muda na raia wengine/wa kawaida
 
Hao ma-manager ndio wasimamizi wakuu wa hii miradi.

Kwa hiyo wanajali chao, hawana muda na raia wengine/wa kawaida
Basi kuna haja ya kufanyika uchunguzi,usikute kuna upigaji kwenye kupunguza route
 
Abiria wengi magari machache
Later unaambiwa shirika linapata hasara, hiyo gharama ya uendeshaji ikoje ebo!
 
Hawa jamaa wanachukulia poa sana abiria ambao ndo wateja wao. Hii adha ni kubwa sana, kukaa kituoni zaidi ya dk 45 mpaka saa 1.30 si sahihi hata kidogo.
Kweli mradi mkubwa wa serikali wa kuzidiwa na Abood ambae anaenda route ndefu kila nusu saa anatoa basi kuelekea Morogoro??
It's shame!!!
 
Wakuu tunaomba mjitahidi kutoa huduma inayoeleweka. Sijui ni nani anaepanga route za magari maana imagine mtu unakaa kituoni lisaa lizima gari zinapita chache mno na zimejaa hakuna hata pa kusimama.
Wanaopanga route wana mentality ya hovyo sana, wanasema magari lazima yashone toka mwanzo wa route ili kufidia hasara inayotokana na nauli kuwa ndogo
 
Kwa hali hii kumiliki Gari imekua ni basic need na sio tena anasa

Usafiri wa umma bongo ni changamoto tofauti na wenzetu

Ukienda China asilimia kubwa watu wengi wanamiliki magari hivyoo foleni ni kubwa pia

Lakini mtu anaona Bora aache gari nyumbani apande zake Subway chap tu anafika anapoenda
 
Wakuu tunaomba mjitahidi kutoa huduma inayoeleweka. Sijui ni nani anaepanga route za magari maana imagine mtu unakaa kituoni lisaa lizima gari zinapita chache mno na zimejaa hakuna hata pa kusimama.

Mtu unaamua uende hadi terminal ya kivukoni au gerezani unakuta hali ndio haifai. Jitahidi kuamrisha magari yaondoke maana unakuta yamepaki tu na watu wanasubiri huduma. Kuna wakati mnajitahidi ila mda mwingi kunakua hakuna coordination nzuri.
Hebu angalia hizi picha na ni mchana tu saa nane saizi hali ni hivi.

Kama tatizo lingekua uchache wa magari basi tusinge experience hii shida muda wa mchana. Lakini imekua kinyume chake yaani mchana hali inakua mbaya zaidi.

Kama kuna tatizo ombeni serikali ichukue hatua au hadi wawachukulie nyie hatua?

View attachment 2468757View attachment 2468758View attachment 2468759
Uongozi dhaifu, nimechunguza mara nyingi uzembe ni mwingi, wale wahudumu wa kukagua ticket hawazimuliki na hawazichani, nyingi zinarudi kuuzwa upya, shirika linahujumiwa sana
 
Hakuna watu wanajiona wameyapatia maisha km wafanyakazi na madereva wa UDART..
Hasa sisi walalahoi tukiwa tunaminyana kupanda wao wanajifungulia mlango wao wapande bila bugudha...

Au dereva akute mnamsubiria halafu apitilize kituo... Wanajiona km marubani
 
Uongozi dhaifu, nimechunguza mara nyingi uzembe ni mwingi, wale wahudumu wa kukagua ticket hawazimuliki na hawazichani, nyingi zinarudi kuuzwa upya, shirika linahujumiwa sana
Kwa siku asipochana ticket ishirini tu anahela ya kula
 
Hakuna watu wanajiona wameyapatia maisha km wafanyakazi na madereva wa UDART..
Hasa sisi walalahoi tukiwa tunaminyana kupanda wao wanajifungulia mlango wao wapande bila bugudha...

Au dereva akute mnamsubiria halafu apitilize kituo... Wanajiona km marubani
Wanakera sana huwa siwaelew hao madereva
 
Angela Kairuki yupo yupo sijui ana mawazo gani? Maana hakuna mradi wa kisenge kama huu. Dakika 60 mpaka 120 hakuna gari kituoni. Meneja wa mradi wapo busy kuiba hela kupitia tiketi. Aliyevuruga ule mfumo wa kulipa kwa kadi ni mtu wa ajabu sana.
 
Sijui viongozi wetu,wanaweza kusimamia nini?..
UMEME SHIDA,
MAJI SHIDA,
USAFIRI SHIDA,
HUDUMA zA AFYA SHIDA
 
DART imejaa wajinga watupu anzia wa juu mpaka mfanya usafi
 
Back
Top Bottom