Kuna Tengua, Hamisha, teua usiku wa leo, lengo kuzima mjadala ya CHADEMA

Kuna Tengua, Hamisha, teua usiku wa leo, lengo kuzima mjadala ya CHADEMA

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Nimepenyezewa habari kutoka chanzo cha kuaminika kabisa kabisa kwamba usiku wa leo, kuanzia mida ya saa 3 usiku kuna mkeka utatoka huo mkea haukuwa kwenye mpango wa Samia ila ni maalumu kwa ajili ya kudivert habari za CHADEMA

Mkeka umeanza kusukwa tangu juzi baada ya seke seke la Mbeya na kilicho kuwa kinangojwa ni lini au ni muda gani CHADEMA watatoa press ili baada ya hapo ndio mkeka uachiwe.

Kuna Waziri mmoja anaenda kubadilishiwa wizara na hii ndio inaaminika ita divert mjadala na kuna Wakuu wa mikoa na wilaya watabadilishiwa vituo vya kazi leo usiku.

UPDATE
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
 
Nimepenyezewa habari kutoka chanzo cha kuaminika kabisa kabisa kwamba usiku wa leo, kuanzia mida ya saa 3 usiku kuna mkeka utatoka huo mkea haukuwa kwenye mpango wa Samia ila ni maalumu kwa ajili ya kudivert habari za CHADEMA...
Mwisho wa siku uchumi utapaa😆😆😆
 
Mkeka umeanza kusukwa tangu juzi baada ya seke seke la Mbeya na kilicho kuwa kinangojwa ni lini au ni muda gani CHADEMA watatoa press ili baada ya hapo ndio mkeka uachiwe.
Kwa hiyo, Press ya Chadema ndiyo imeshikiria funguo wa pdf ya uteuzi na utenguzi.

Serikali haiwezi kufanya kazi kwa staili hiyo. Nadhani jipange upya.
 
Nimepenyezewa habari kutoka chanzo cha kuaminika kabisa kabisa kwamba usiku wa leo, kuanzia mida ya saa 3 usiku kuna mkeka utatoka huo mkea haukuwa kwenye mpango wa Samia ila ni maalumu kwa ajili ya kudivert habari za CHADEMA...
huo mjadala wa Chadema uko wapi nahitaji kuchangia 🐒
 
Mtu kama hukubaliki kubali yaishe ... ⏰ 💯 hakubalikiki yeye na jopo lake.
 
Tangu nilipogundua hii CCM ina mikono mirefu sana na kila mmoja anapopewa ka nasafi kuanzia mtendaji, mwalimu mkuu, afisa tarafa, ded na wakuu wake wa idara, dc na idara zake, mkoani, vyombo vyote vya dola yaani kila taasisi viongozi wake kuwa makada, niliamua kuachana kufstilia mambo ya siasa na drama zake, nimeamua kuishabikia Yanga inanipa raha tu na kusahau upuuzi wote. Ninachojali watoto wale angalau milo miwili basi. Mengine sitaki kusikia
 
Back
Top Bottom