Kuna Tengua, Hamisha, teua usiku wa leo, lengo kuzima mjadala ya CHADEMA

Kuna Tengua, Hamisha, teua usiku wa leo, lengo kuzima mjadala ya CHADEMA

Labda angemtoa zakayo mtoza ushuru ndo ingepooza kidogo tofauti na hapo hamna kitu anafanya anazidu kunuka kinyesi
 
State house press imeoza, ni matobo kila sehemu. Ndo shida ya kufanya kazi na vijana.
 
kinachoniogopesha ni kiwango cha kuvuja kwa hizi taarifa. Najiuliza sisi hatujalipia ila tunapenyezewa bure, vipi wale wanaonunua taarifa za kiuchumi itakuwaje
Lobbyist na spies wana enjoy sana. Mama alisema anataka kufanya kazi na vijana, anavuna anachokipanda. Vijana ma fridge hayagandishi kabisa.
 
Odo kapumzishwa Jenista Mhagama ndio waziri wa Afya kweli Bi. tozo Hana first eleven kama kikosi Cha Simba Sc.
 
Nimepenyezewa habari kutoka chanzo cha kuaminika kabisa kabisa kwamba usiku wa leo, kuanzia mida ya saa 3 usiku kuna mkeka utatoka huo mkea haukuwa kwenye mpango wa Samia ila ni maalumu kwa ajili ya kudivert habari za CHADEMA

Mkeka umeanza kusukwa tangu juzi baada ya seke seke la Mbeya na kilicho kuwa kinangojwa ni lini au ni muda gani CHADEMA watatoa press ili baada ya hapo ndio mkeka uachiwe.

Kuna Waziri mmoja anaenda kubadilishiwa wizara na hii ndio inaaminika ita divert mjadala na kuna Wakuu wa mikoa na wilaya watabadilishiwa vituo vya kazi leo usiku.

UPDATE
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
Huwezi kuzima mjadala wa Chadema kwa kuteua Kabudi
 
Back
Top Bottom