TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kweli kwa hili nijipange. Na kwa kweli something is very wrong.... predictability hii haikubaliki. Why this is happening!!! We need steel bloom for blooming/sweeping the waste steel wires and whools!!!We ndo ujipange.
Wasiwasi wako ni wa msingi sana. Nadhani Kuna anayetishwa si bure...!!!tunapenyezewa bure, vipi wale wanaonunua taarifa za kiuchumi itakuwaje
Daaah yani meshangaa na kweli imetokea yale yale ya kigogoState house press imeoza, ni matobo kila sehemu. Ndo shida ya kufanya kazi na vijana.
Lobbyist na spies wana enjoy sana. Mama alisema anataka kufanya kazi na vijana, anavuna anachokipanda. Vijana ma fridge hayagandishi kabisa.kinachoniogopesha ni kiwango cha kuvuja kwa hizi taarifa. Najiuliza sisi hatujalipia ila tunapenyezewa bure, vipi wale wanaonunua taarifa za kiuchumi itakuwaje
Angalau ya kigogo hayakuwa yanaanzia ikulu. Haya yanatokea state house press club kabisa, wala huitaji kuwa na PhD kujua hilo.Daaah yani meshangaa na kweli imetokea yale yale ya kigogo
Huwezi kuzima mjadala wa Chadema kwa kuteua KabudiNimepenyezewa habari kutoka chanzo cha kuaminika kabisa kabisa kwamba usiku wa leo, kuanzia mida ya saa 3 usiku kuna mkeka utatoka huo mkea haukuwa kwenye mpango wa Samia ila ni maalumu kwa ajili ya kudivert habari za CHADEMA
Mkeka umeanza kusukwa tangu juzi baada ya seke seke la Mbeya na kilicho kuwa kinangojwa ni lini au ni muda gani CHADEMA watatoa press ili baada ya hapo ndio mkeka uachiwe.
Kuna Waziri mmoja anaenda kubadilishiwa wizara na hii ndio inaaminika ita divert mjadala na kuna Wakuu wa mikoa na wilaya watabadilishiwa vituo vya kazi leo usiku.
UPDATE
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
anacheza na akili zenuOdo kapumzishwa Jenista Mhagama ndio waziri wa Afya kweli Bi. tozo Hana first eleven kama kikosi Cha Simba Sc.
ndio hivyo isha tokeaHuwezi kuzima mjadala wa Chadema kwa kuteua Kabudi
Ndoto...Hizi ndio zake