Unaposema kizazi hiki unamaanisha kizazi cha ngapiKuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Hivi Mungu mwenye huruma ni wa kumtupa mwanadamu kwenye ziwa la moto kweli?nahisi baadhi ya watu mnatafsiri biblia vibaya.Pia tujue hili,
Unyakuo utaanza kwanza Kisha maisha ya taabu na dhiki kuu yataanza rasmi duniani WATAKATIFU wakiwa mapumzikoni.
Baada ya miaka elfu , Yesu atakuja kuwachukua na kufufuka waliowake washindao mateso ya dhiki kuu.
Baada ya hapo ndipo ataihukumu Dunia na Ulimwengu kutupwa Ziwa la moto jehanum baada ya kuhukumu.
Ni scam tu iliyotengenezwa na wamarekani kuudanganya ulimwengu kwamba mfumo unaoongoza mifumo yote ya computer duniani katika kuhifadhi kumbukumbu uta collapse kwa kushindwa kuutambua mwaka 2000 kwamba itarudi 1900 na hivyo taarifa za kibenk zote duniani zitafutika kwa tukio hili USA walipiga dola bilioni 600 world wide.Nikumbushe hii Y2k mkuu ilikua ni nn ? Nlikua mdogo kitambo icho
Uza kila kitu mpe pesa mchungajiKuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Kanisa lako li wapi mtumishiUsiombe ukaachwa duniani Unyakuo utapofanyika,
Y2KNi scam tu iliyotengenezwa na wamarekani kuudanganya ulimwengu kwamba mfumo unaoongoza mifumo yote ya computer duniani katika kuhifadhi kumbukumbu uta collapse kwa kushindwa kuutambua mwaka 2000 kwamba itarudi 1900 na hivyo taarifa za kibenk zote duniani zitafutika kwa tukio hili USA walipiga dola bilioni 600 world wide.
😄😄😄 mkuu ebu kanywe chai kwanzaKuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Aya wewe haufi si ndio!Ukifa Wewe,
Ndo dunia Yako imefikia kikomo,
Wahuni tutaendelea kudunda,
Na mjane wako tutaendelea kumfariji
Y2k millennium bug walitumbia computer zote zitasimama hazitafanya kazi 😄
Ahh ndomana kuna yule nabii arusha anasema yesu akija yeye ndy ataenda kumpokea na marange yakeLisemwalo lipo (na yalishasemwa kwenye vitabu)!
Kama halipo linakuja (Yesu atakuja kama mwizi hakuna aijuaye siku wala saa)!
Dalili alizosema,Vita,Magomjwa yasiyo na dawa,Njaa,kukithiri kwa maovu(Uzinzi,Ulawiti na Usagaji,Mauaji,Ufisadi,Wizi,nk ),Matetemeko ya nchi mahali mahali (mabadiliko ya tabia nchi),Habari za kutisha,nk
Kifanyike kipi?
Ni Kujiandaa wakati wote!
Tubu dhambi zote na kuacha!
Y2K Ilikuwa ni kifupi cha mwaka 2000, walisema ifikapo 2000 basi dunia itafika mwisho yaani kiama au doomsdayNikumbushe hii Y2k mkuu ilikua ni nn ? Nlikua mdogo kitambo icho
Una akili mdogo sana ,Kurud Kwa Yesu hakutakua Kwa kinyonge na ufukara kama unavyowaza kiufukara itakua ni tukio la kutisha mnoo.. kama unadhan natania kawaulize wale walinzi pale kaburini wakati anafufuka yaan walkua kama wafu wakat Mwanaume anafufuka palikua hapatoshi ,Kwa iyo hayo mabomu ya Netenyau yenyewe yatasema Yesu amerudi ,miti itasema Yesu amerudi,mamba itakiri Yesu amerudi ,Samia,Museven,Ruto,kagame,askofu, Sheikhe ,imamu,Mufti woooote watasema Yesu amerudi kulichukua kanisa, ng'ombe wako kuku,meza kabati, vijiko, kitanda vyooote vitasema ni mwisho wa DuniaAcha kujidanganya mkuu, Yesu hawez kurudi.
Tena Kwa wayahudi tulionao sahivi, watampiga Yesu makombora mpk achakae.
Bora kina Pilato walimhurumia wakamgonga misumari nchi 6 mikonini na miguuni Ila wakauacha mwili wake angalau unatambulika ukiutizama
Ila Kina Netanyau hawacheki na kima, wataulipua,kuuchakaza na kuufukia na vifusi vya Gaza.
Kwanini USA na isiwe Bangladesh?Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Acha sigara bwege ,yupo mwingine kama wewe stand ya Mbezi na spika kubwa akihubiri upuuzi kama wako.Kuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.
Tetesi hizi hazijaanza leo hivy9 ni za kupuuziaKuna taarifa za kushangaza huko USA inasemekana mwisho wa Dunia (doomsday) ni karibu mno na kizazi hiki kitashuhudia Yesu anarudi stay tuned kwa ushahidi.