Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
wangeangalia na uchaguzi wa bara kwani mzee lubuva alikuwa hekima ya uzee na kumtangaza mshindi aliyeshindwa
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Si ulifurahia kufutwa uchaguzi ulio halali?
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Jaribu kujiongeza tofautisha kuandika na kukopi.
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Hii kitu ni zilipendwa.
 
ee29bb5be03e31effda3507374888292.jpg
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Ww ndo unaandika kinazi kwani kudhulumu haki ya mtu ni sawa?
 
Ni Nchi gani duniani imeshawekewa vikwazo duniani kwa ajili ya mambo ya uchaguzi ??hv mnajua maana ya vkwazo vya uchumi?au kusitisha misaada kuna vikwazo na kusitisha misaada vikwazo vinatolewa na UN si nchi moja moja na vikwazo unawekewa kwa idadi ya moja ya tatu ya kura zote zitakazo pigwa na wanachama wa UN

Tanganyika imesitisiwa misaada na taasisi za misaada si serikali ya Marekani leo NSSF wakikataa kukupa misaada si kwamba serikali ya Tanganyika ndo imekataa kukupa misaada Millennium Development Goals (MDGs) ni taasisi ya kimarekani si serikali ya marekani
 
Hali ni ngumu ikiongezwa na vikwazo tena itakuwa jiwe kabisa Zimbabwe ya misimamo inakuja
 
Kijiwe gani umeinyofoa hii mkuu

Source
 
Mijitu mingine mijinga sana, unashabikia kapu la mayai lidondoshwe ila na wewe umeweka mayai yako humo humo.

nyie ndiyo mkiambiwa watoto wenu ni wezi wala unga mnawatetea kwa gharama yoyote ile.

kila jambo lina wajibu wake, mmepoka ushindi wa Seif mtawajibika ipasavyo.

USA shusha runga upesi.
 
Uzushi tu huu, Yaan vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa vishindwe kupata hizi tetesi wewe ambaye upo Tanzania ndo uipate?

Hakuna kitu kama hicho, na Obama hawezi kufanya kitu kama hicho, kama TUME ya uchaguzi ingelikuwa imemtangaza rasmi Maalim Seif kama Rais afu CCM ikashinikiza matokeo yafutwe hapo kweli vikwazo vingewekwa, lakini kwa namna ilivyotokea ni ngumu sana hatua kama hizo kuchukuliwa, labda useme kuwa, MAREKANI ilazimishe mazungumzo kati ya CUF na Serikali yafanyike lakini si vikwazo.
Anayekuja ni Trump mkuu Obama anaondoka na ameshaanza kukabidhi madaraka so lolote laweza kutokea.
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Nawewe umeandika nonsense,,,,akili utakua umeazima kwa JUMA PUMBA MAHARAGHE,,,, si bure wewe ni ccm kinda kinda...., kwa hivyo wewe unaona sawa mijitu ya ccm kubaka demokrasia na haki za watu wa Zanzibar?

NDIO, Tanganyika iwekewe vikwazo tena tunaomba ifanyike hata mchana wa Leo. Uonevu na ubabe umezidi nchi hii....
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.

Changamoto za jinsi zinatufanya tukomaee. Mbona pesa za MCC walisitisha na tumeendelea kuwepo. Huu si wakati wa kuendelea na zoezi la kapu.
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
katika hali ya maisha magumu kama haya, wakishusha rungu tutakuwa kama malawi. tulifanya makosa makubwa sana kwenye uchaguzi uliopita, na hii inatugarimu live, hata kama watu wanajifariji lakini iko wazi, watu tuliowaweka madarakani tuliingia mkenge na tutajuta hadi 2020. tuangalie kama 2020 tutafanya makosa tena kama haya. ni sawa na kumpa intern kazi ya mteja wako wa miaka mingi. itaharibika tu. watu hawana uzoefu na uongozi hasa wa kimataifa, hawana uzoefu na uchumi, hawana uwezo wowote ni sawa tu na wametoka bush juzu, tukawakabidhi madaraka. nchi imesambaratika, hata pesa za kuendesha ofisi za serikali hamna, waulizeni wafanyakazi wa uma wanafanyaje kazi maofisini huko, wanaogopa tu kulalamika lakini hali ni mbaya kupita maelezo. tulitegemea hali itakuwa mbaya kwa mafisadi na wafanyabiashara wakwepa kodi, lakini hali ni mbaya zaidi ofisi za serikali, magari hayafanyi kazi hamna mafuta, hamna hela, afu mtu anakuja kusema anajenga uchumi? wanaeleza hata maana ya uchumi au walikuwa wanausikia tu. watu walipata madaraka kwa bahati nasibu ya kujaribisha na wanakotupeleka hakueleweki. Mungu aingilie kati hawa watu hawatufai maishani.
 
Back
Top Bottom