Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wewe unafurahia wengine wanapoonewa,mfano Lema ,na wengine wengi.Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Unaiabudu Marekani ?!na underson ndambo.
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Mtoa mada Ni mnafiki wazi kabisa !Uzushi tu huu, Yaan vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa vishindwe kupata hizi tetesi wewe ambaye upo Tanzania ndo uipate?
Hakuna kitu kama hicho, na Obama hawezi kufanya kitu kama hicho, kama TUME ya uchaguzi ingelikuwa imemtangaza rasmi Maalim Seif kama Rais afu CCM ikashinikiza matokeo yafutwe hapo kweli vikwazo vingewekwa, lakini kwa namna ilivyotokea ni ngumu sana hatua kama hizo kuchukuliwa, labda useme kuwa, MAREKANI ilazimishe mazungumzo kati ya CUF na Serikali yafanyike lakini si vikwazo.
Mungu atuepushe vikwazo visitikoe, maana Dk Sheni hatadhurika na vikwazo hivyo shida ipo kwangu mimi nawewe.Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Hizo ni story tu uhalisia unaujua, vita vya irak baraza la usalama ambalo ndilo lenye nguvu lilikataa kuivamia irak Marekani ikaamua yenyewe, Bush akasema, "if you are not with us you are with them" nani alikohoa.Mkuu UN kuna vitengo sita ambavyo ni
1 General Assembly. President.
2 Security Council. Members.
3 Economic and Social Council.
4 Secretariat. Secretary-General. Deputy-Secretary General. Under-Secretary-General.
5 International Court of Justice. statute.
6 Trusteeship Council.
Na wenye kuweka vikwazo ni mkutano wa General Assembly ambao ni wanachama wote si Security Council. Members. ambao ni wababe wa dunia
Soma tena uelewe stress zako usizitolee kwangu.Mkuu acha kutokwa na povu kwa kulilia misaada ya wazungu, tufanye kazi kwa bidii watz wote tuachane na dhana ya bila misaada nchi haiendelei. Nchi yetu tuna rasilimali karibu aina zote kwa hiyo habar za misaada tuziweke kando tupige kazi
Acha woga ww, tuliambiwa zaid ya mara 1 na watu tofautitofauti wa ndan na nje ya nchi, sasa kama hatukusikia acha watufunze maisha kwa njia mbadala.Tuombe Mungu hili lisitokee maana huu ugumu wa Maisha tulionao unatutosha hatutaki madhara zaidi.
Kwa nn asiwe???? Ishii watu wakimchagua atakua tu wasipomchagua hatakua, wewe ni kamtume eti web, hahaha una akili finyu na huamini katika demokrasia hivyo wewe ni adui wa maendeleo ya kisiasa na kiuchumi,Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Unamuomba mungu haki itendeke waheshimu maoni na chaguo la wananchi na sio kuwa vinganganiziTuombe Mungu hili lisitokee maana huu ugumu wa Maisha tulionao unatutosha hatutaki madhara zaidi.
Ki vipi, mkubwa ni mkubwa tu hata ukijifanya huoni.Unaiabudu Marekani ?!
Mimi Naomba Sana Marekani waweke vikwazo.Tuombe Mungu hili lisitokee maana huu ugumu wa Maisha tulionao unatutosha hatutaki madhara zaidi.