Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

mkuu

mkuu, ili ofisi iende unahitaji vitendea kazi. ukiwa na akili utakuwa umeelewa. hautakiwi kutumia hela yako ya mfukoni kufund huduma za serikali. wewe nawe naona akili yako ni kama ya wao, na hivyo ndivyo mnavyoamini mnajenga nchi. ni bahati mbaya sana watu aina yako ndio wamejaa madarakani.
Wewe ni miongoni mwa wezi wanaotuhumiwa, nimekuambia kama mmiliki kakataa kuleta vitendea kazi wewe kibarua inakuhusu nini? Hulipwi? Wapi nimesema utumie hela yako kuemdesha ofisi ya mtu?
Mtunie akili saa nyingine sio vinginevyo.
Narudia kawaambie waache umbea na kiherehere, hujaletewa gari kama makubaliano ni kuletewa gari usiende kazini, huna vitendea kazi usifanye kazi.
Msijifanye mna uchungu sana na kazi, mwacheni kwenye kampeni akajibu mwenyewe na waambie hao jamaa zako kuwa hawakuwaahidi wananchi kitu chochote kile zaid ya huyo mmiliki wa ofisi ambaye ataulizwa mwenyewe na waliomchagua.
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Unalalamika kaandika kinazi, at the same time unahitimisha kwamba Maalim Seif hawezi kuwa rais, wewe siyo mnazi sasa?
 
Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Kwa nini? Katiba inamkataza au kumzuia? tuacha ushabiki kwa maswala magumu ya kitaifa na pale haki za raia zinapoguswa. Nawekea mkazo haki za RAIA na siyo za mwananchi. Upo?
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Mfano juzi IGP katuma watu kuchunguza zanzibar kutokana na vitendo vibaya. Sasa jiulize. Bye
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
ALINACHA
 
ee29bb5be03e31effda3507374888292.jpg
.. True words but not for the corrupt and power monger African leaders..
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.
Uzuri chadema wamebaki wanapambana na magufuli issue ya ufisadi imeshakufa kifo cha mende wala hawana ajenda teena bali ajenda imebaki ni magufuli akikohoa wanakosoa akicheka wanakosoa akinuna wanakosoa. Maskini ya mungu upinzani. Wanajuta sanaagufuli kuwa rais mana wamekosa cha kuwapa Kik tena. Ombeni kilwete awasaidie
 
sisi watanzania tumeshazoea shida sasa hivo vikwazo tukiwekewa na hao wamarekani sisi itatusaidia nini maana tushazoea shida hebu mnaelewa hili jambo mtusaidie
Mkuu we ni Mtanzania embu niambie umezoea shida zipi? hivi unajua maana ya ugumu wa maisha? Tanzania hamna ugumu wa maisha
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo..
Je wewe unaona ni halali ufunge bao safi tena safi sana halafu refa alikatae kisa eti ulishangilia baada ya kufunga na wewe unafurahi Watanzani wengine kama wewe bwana kazi ipo////////////
 
--NAOMBA MUNGU KIPINDI CHA AWAMU YA TANO KIENDE MBIO NA KIMALIZE HARAKA,MUNGU WETU TUONE TUOKOE...TU JANGWANI.
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...
Wewe nani, mpaka uongee hivyo?
 
De MArekani ilivyopangiwa matokeo ya uchaguzi na urusi je amewawekea vikwazo nani? mbele hayo machagadema
 
sisi watanzania tumeshazoea shida sasa hivo vikwazo tukiwekewa na hao wamarekani sisi itatusaidia nini maana tushazoea shida hebu mnaelewa hili jambo mtusaidie
Hakuna mtu aliezoea shida usituingopee, waulize Cuba watakujuza nini maana ya vikwazo.
 
nyie ndiyo mkiambiwa watoto wenu ni wezi wala unga mnawatetea kwa gharama yoyote ile.

kila jambo lina wajibu wake, mmepoka ushindi wa Seif mtawajibika ipasavyo.

USA shusha runga upesi.
Mtumwa na kibaraka wa mzungu utamjuwa tu.
 
Umeandika kinazi...utakuwa ni CUF au CHADEMA...unafurahia Tanzania kuwekewa vikwazo...dah...Watanzania wengine bwana kazi ipo...haya endeleeni kuandika hivyo...tutaona mwisho wake utakuwaje...Lakini lililo wazi ni kuwa Maalim Seif hawezi kuwa Rais wa Zanzibar na haitatokea kuwa hivyo...


Sasa mkuu mbona na wewe umemalizia kinazi zaidi?
 
na underson ndambo.

Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.
Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.

Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC, pamoja na kuzishawishi nchi zengine. Serikali ya Tanzania ipo hatarini kukumbwa na janga la njaa, ikiendelea kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki itendeke kabla ya Febr 2017.

Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguz mkuu wa Zanzibar uliofanyika 25th Oct 2015.

Hivi Marekani wanakusaidia nini? na ni nani atakayetamka na kuikemea marekani kwa sintofahamu ya uchaguzi wao wa juzi, kauli kama hizi za kutishia nchi huru yenye watu huru ni upuuzi na inatokana na watu wa hovyo.
 
Ss ww na huyo aliyeandika tetesi mnazi na aliyeandika kinazi ni nani !ona soni kabla huja andika.we ni ccm ? Unaposema Seif hatakua raisi,haitatokea ni unazi,unoko,ukada,au ubabe?alafu bado unasema aliyeandika anafurahia Tz,kuwekewa vikwazo ! wapi alipocheka ukaona meno yake ukathibitisha furaha yake ?au,wapi alipoandika furaha hiyo ?mmsema nchi inaweza kujiendesha,Leo unatumwa kuja huku kutafuta huruma za nn?cmna ubavu ! Hovyo kwelikweli ccm.Mbowe akienda nje mnasema kaenda kutembeza bakuli,ss mnapoumizwa na vikwazo vya Marekani,mnataka mkatembeze ndoo au gunia kbs?mbona hamueleweki,msimamo wenu uko wapi?yaani hata acye na chama ccm hajiungi.mbele hampo,nyuma hampo,katikati mnatafutwa mkowapi nyie wababe mpaka wa roho za wahamiaji haramu?lazima muwe na walakini apsteaz
 
Back
Top Bottom