Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maradhi ya akili mnayoumwa ni mabaya sana,sefu amewaharibu akili zenu kufikia hatua ya kuishi kama mazezetaKuna tetesi zinaendelea kuzagaa kule Zanzibar kuhusu kufanyika mabadiliko ya Utawala . Taarifa zinasema kunatarajiwa kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa hivi karibuni zitakazowashirikisha CCM na CUF.
Mkuu hakuna haja ya kubeza.Mkuu kama sio ndoto basi ni shibe ya dona na kibua huwa ina maluweluwe kweli.
Kuna tetesi zinaendelea kuzagaa kule Zanzibar kuhusu kufanyika mabadiliko ya Utawala . Taarifa zinasema kunatarajiwa kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa hivi karibuni zitakazowashirikisha CCM na CUF.
Vyanzo vyetu vinadokeza kumekuwa na usiri mkubwa wa jambo hili baina ya pande mbili na usiri wa walio nyuma ya mpango huo zikihusishwa jumuiya za kimataifa kwa kushirikiana na mamlaka za ndani.
Siku za hivi karibuni kwa upande wa CUF, viongozi wa Zanzibar wamezidisha juhudi za kuwaeleza wanachama wao kile wanachokiita haki yao na kutumia kurugenzi zao za uchaguzi na usalama na ulinzi kuzunguka wilaya zote za Zanzibar kuwatayarisha kupokea mabadiliko. Kuna vikao vingi vya ndani vimefanyika na hadi kufikia kuwaarifu kujiandaa kupamba.
Na kwa upande wa CCM kuna taarifa za kuwa na vikao vingi ingawa usiri umezidi juu ya kile hasa kinaendelea.
Tetesi hizi zilizidi baada ya Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif kuarifu kwamba alitarajia isingezidi miezi mitatatu kutoka Agosti 2017 kwamba haki ya wazanzibari ingepatikana ingawa iliarifiwa baadae kwamba siku zilisogea na kusogezwa mbele.
Kinachoendelea sasa ni ukimya na minongono mingi katika vounga vya Zanzibar bila ya kuonekana dalili yoyote ya matayarisho ya mabadiliko.
Wenye taarifa tunaomba ufafanuzi.
Kishada.
Sasa CUF yenyewe si imegawanyika?
Ni muungano wa CCM na CUF ya Lipumba au CUF ya Seif Sharif?!
Hayo maradhi ya akili mnayoumwa ni mabaya sana,sefu amewaharibu akili zenu kufikia hatua ya kuishi kama mazezeta
Nina sikitika CUF imekuwa kama toothles Dog..
Maalim Seif atulie ajipange 2020 labda ndoto zake zitatimia kabla hajaondoka duniani.Kuna tetesi zinaendelea kuzagaa kule Zanzibar kuhusu kufanyika mabadiliko ya Utawala . Taarifa zinasema kunatarajiwa kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa hivi karibuni zitakazowashirikisha CCM na CUF.
Vyanzo vyetu vinadokeza kumekuwa na usiri mkubwa wa jambo hili baina ya pande mbili na usiri wa walio nyuma ya mpango huo zikihusishwa jumuiya za kimataifa kwa kushirikiana na mamlaka za ndani.
Siku za hivi karibuni kwa upande wa CUF, viongozi wa Zanzibar wamezidisha juhudi za kuwaeleza wanachama wao kile wanachokiita haki yao na kutumia kurugenzi zao za uchaguzi na usalama na ulinzi kuzunguka wilaya zote za Zanzibar kuwatayarisha kupokea mabadiliko. Kuna vikao vingi vya ndani vimefanyika na hadi kufikia kuwaarifu kujiandaa kupamba.
Na kwa upande wa CCM kuna taarifa za kuwa na vikao vingi ingawa usiri umezidi juu ya kile hasa kinaendelea.
Tetesi hizi zilizidi baada ya Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif kuarifu kwamba alitarajia isingezidi miezi mitatatu kutoka Agosti 2017 kwamba haki ya wazanzibari ingepatikana ingawa iliarifiwa baadae kwamba siku zilisogea na kusogezwa mbele.
Kinachoendelea sasa ni ukimya na minongono mingi katika vounga vya Zanzibar bila ya kuonekana dalili yoyote ya matayarisho ya mabadiliko.
Wenye taarifa tunaomba ufafanuzi.
Kishada.
Kwanza wapatane na kuweka pembeni wa bara maana kuna unafiki sana kwa wanaofaidika na mfumo toka Bara.....wakijielewa hapo ndio wataweza kwenda kwenye Taifa lao huruWavunje vyama vyao vya asili ili watengeneze chama kipya chenye muunganiko wa CCM/CUF.
Hakuna kitu kama hicho hapa duniani
seif amezidi upole siku izi
Sio wa kumwamini sana.... hakawii kukana kauli zake.!Kwa dongo la mkulu siku ya kuzima mwenge zenji, alisema kuna watu wanasubiri eti kuapishwa sijui wataapishwa lini.!? sahau hio kitu mkuu.!