Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Kula limao kupunguza nahiiiiii!Hizi kadi nyekundu zimewanufaisha Sana mikia na kuvuna point 3 muhimu, mechi ya Dodoma jiji, mechi ya leo na polisi, pia mechi ya fainali kombe la shirikisho kigoma dhidi ya yanga, bila hizo kadi awa mabwana wangeondoka patupu kwenye izo mechi, kadi nyekundu zimekuwa mkombozi wao kwa sasa!
Mtaendelea kupiga porojo ivyo ivyo mnashindwa kukiri timu yenu mbovu mkikung'utwa mnakuja na ngonjera nyingine apa, kila timu inaikamia simba kuanzia mechi za preseason mpaka sasa mnakamiwaga tu, mnategemea magoli ya aina ile kwakuwa timu aina mipango ya kutengeneza magoli ivyo ni mpaka timu nyingine apungue mchezaji mmoja ndo mpate nafasi ya kujimwambafai bila ivyo mambo magumuKadi nyekundu zinatokana na ahadi ya boss wenu kwa hivi vitimu... wachezaji wao wanatumia nguvu sna ili tu watoe draw au washinde wapate kifuta jasho kutoka kwa tajili yenu matokeo yake wanaishia kuambulia kadi nyekundu... na wakiendelea watapat nyekundu nyingi sana msimu huu
Ww maku kwahiyo hizo kadi nyekundu zipo njee ya sheria 17.Hizi kadi nyekundu zimewanufaisha Sana mikia na kuvuna point 3 muhimu, mechi ya Dodoma jiji, mechi ya leo na polisi, pia mechi ya fainali kombe la shirikisho kigoma dhidi ya yanga, bila hizo kadi awa mabwana wangeondoka patupu kwenye izo mechi, kadi nyekundu zimekuwa mkombozi wao kwa sasa!
Unasema kweli kabisa wanakamiaKadi nyekundu zinatokana na ahadi ya boss wenu kwa hivi vitimu... wachezaji wao wanatumia nguvu sna ili tu watoe draw au washinde wapate kifuta jasho kutoka kwa tajili yenu matokeo yake wanaishia kuambulia kadi nyekundu... na wakiendelea watapat nyekundu nyingi sana msimu huu
Unakimbilia reference ya msimu uliopita kwenye mechi ambayo yule mhindi wenu alikuwa ashacheza michezo yake aliyokuwa anafanya, mwambieni aicheze tena iyo michezo msimu huu akione cha motoMsimu wa juzi utopolo ilipigwa 4-1 bila kadi nyekundu.Kwa hiyo hizo ulizotaja ni ili ujifariji tu.
Sheria 17 za matakoni mwako labda, izo sheria zinafanya kazi kwenye mechi zenu tu sio, mechi 3 kadi 3, mnapokuja kugaragazwa mnaanza kuongea utumbo mara wachezaji wamesaliti mara vile kumbe watu wajinga wajinga dizaini yako wako wengi mpira mmeujulia ukubwani, we unafikili kila mechi utakuwa unabebwa na kadi, tengenezeni timu la sivyo mtaendelea kutunguliwa mpaka akili iwakae sawa maana ampendi kuambiwa ukweliWw maku kwahiyo hizo kadi nyekundu zipo njee ya sheria 17.
Kwa hiyo mechi uliyoitaja ya kigoma utopolo kupigwa kimoja ni msimu huu? Utopolo kupigwa nyingi na mnyama sio ajabu. Hukumbuki 5-0? Tushawazoea kwa visingizio.Unakimbilia reference ya msimu uliopita kwenye mechi ambayo yule mhindi wenu alikuwa ashacheza michezo yake aliyokuwa anafanya, mwambieni aicheze tena iyo michezo msimu huu akione cha moto
Wenye akili watakuelewaHii simba hii Aya endeleeni kulea kidonda siku mkikutana na timu inafunguka na kucheza mpira mkipigwa wiki msije kutuletea habari zenu hapa za Mara Mo hafai.
Hi timu inahitaji reform kuanzia benchi la ufundi na wachezaji.
Na wale ambao huwa wanashinda wakiwa pungufu, lakini pia wewe hujawahi fungwa nao wakiwa pungufu?Hizi kadi nyekundu zimewanufaisha Sana mikia na kuvuna point 3 muhimu, mechi ya Dodoma jiji, mechi ya leo na polisi, pia mechi ya fainali kombe la shirikisho kigoma dhidi ya yanga, bila hizo kadi awa mabwana wangeondoka patupu kwenye izo mechi, kadi nyekundu zimekuwa mkombozi wao kwa sasa!
Unamaanisha hata Jwaneng kule kwao kuna mtu alipigwa red card ndo tukashinda?Sheria 17 za matakoni mwako labda, izo sheria zinafanya kazi kwenye mechi zenu tu sio, mechi 3 kadi 3, mnapokuja kugaragazwa mnaanza kuongea utumbo mara wachezaji wamesaliti mara vile kumbe watu wajinga wajinga dizaini yako wako wengi mpira mmeujulia ukubwani, we unafikili kila mechi utakuwa unabebwa na kadi, tengenezeni timu la sivyo mtaendelea kutunguliwa mpaka akili iwakae sawa maana ampendi kuambiwa ukweli