Kuna timu bila mchezaji wa upande mwingine kutolewa kwa kadi nyekundu akuna ushindi

Kuna timu bila mchezaji wa upande mwingine kutolewa kwa kadi nyekundu akuna ushindi

Kadi nyekundu zinatokana na ahadi ya boss wenu kwa hivi vitimu... wachezaji wao wanatumia nguvu sna ili tu watoe draw au washinde wapate kifuta jasho kutoka kwa tajili yenu matokeo yake wanaishia kuambulia kadi nyekundu... na wakiendelea watapat nyekundu nyingi sana msimu huu
Kabisa 100%.
 
Mtaendelea kupiga porojo ivyo ivyo mnashindwa kukiri timu yenu mbovu mkikung'utwa mnakuja na ngonjera nyingine apa, kila timu inaikamia simba kuanzia mechi za preseason mpaka sasa mnakamiwaga tu, mnategemea magoli ya aina ile kwakuwa timu aina mipango ya kutengeneza magoli ivyo ni mpaka timu nyingine apungue mchezaji mmoja ndo mpate nafasi ya kujimwambafai bila ivyo mambo magumu
Ahadi za GSM za million 15 kwa 10 zitawapa sana kadi hao
 
Unakimbilia reference ya msimu uliopita kwenye mechi ambayo yule mhindi wenu alikuwa ashacheza michezo yake aliyokuwa anafanya, mwambieni aicheze tena iyo michezo msimu huu akione cha moto
Nyie kila mkifungwa na Simba mmechezewa hamjawahi zidiwa co?..kuwa Yanga kazi sana.
 
kwani ukiwa pungufu ndo lazima ufungwe SISI TULIKUWA PUNGUFU NA TUKAWAPIGA YANGA 2-1...Tukawa tena PUNGUFU tukasuluhu 1-1 na vyura ile KONA YA KICHUYA hao wengine wanashindwa nn.
 
Back
Top Bottom