Kuna timu bila mchezaji wa upande mwingine kutolewa kwa kadi nyekundu akuna ushindi

Kabisa 100%.
 
Ahadi za GSM za million 15 kwa 10 zitawapa sana kadi hao
 
Unakimbilia reference ya msimu uliopita kwenye mechi ambayo yule mhindi wenu alikuwa ashacheza michezo yake aliyokuwa anafanya, mwambieni aicheze tena iyo michezo msimu huu akione cha moto
Nyie kila mkifungwa na Simba mmechezewa hamjawahi zidiwa co?..kuwa Yanga kazi sana.
 
kwani ukiwa pungufu ndo lazima ufungwe SISI TULIKUWA PUNGUFU NA TUKAWAPIGA YANGA 2-1...Tukawa tena PUNGUFU tukasuluhu 1-1 na vyura ile KONA YA KICHUYA hao wengine wanashindwa nn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…