Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Kaizer Chief 4 - simba sc 0
tuwe makini kuna wakati tunafukuza watalii bila kujijua
tuwe makini kuna wakati tunafukuza watalii bila kujijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga mnajiaibisha sana mjueKaizer Chief 4 - simba sc 0
tuwe makini kuna wakati tunafukuza watalii bila kujijua
Wanafikiri wakiidhihaki Simba keshokutwa ndio wanapindua meza,jamaa wapo na low IQ sana
Ikaja ikapiga tatu ikiwa imevaa visit TanzaniaKaizer Chief 4 - simba sc 0
tuwe makini kuna wakati tunafukuza watalii bila kujijua
Ikatoka ikiwa imevaa Visit TanzaniaIkaja ikapiga tatu ikiwa imevaa visit Tanzania
Ikatolewa na kudai huwa haibahatishi kushiriki ligi ya Klabu Bingwa Afrika lakini si kuchukua kombe ikiwa imevaa jezi ya "Visit Tanzania" [emoji23]Ikaja ikapiga tatu ikiwa imevaa visit Tanzania
Lile ambalo liling'oaga viti uwanja wa Taifa baada ya kufungwa na vidume [emoji848]Umesahau kuna timu bovu huwa linafungwa kila mara uwanja wa mkapa na kutia aibu taifa
Hapana naongelea lile ambalo lina wakaribisha wageni afu linafungwa na hao wageni😎Lile ambalo liling'oaga viti uwanja wa Taifa baada ya kufungwa na vidume [emoji848]
HakikaLuc Eymel mtu mwerevu sana.
Hii haikufanyi umfunge Rivers,, kweli msukule alishawahi kusema utopolo wote hawana akili isipokuwa kikwete na Sunday manaraKaizer Chief 4 - simba sc 0
tuwe makini kuna wakati tunafukuza watalii bila kujijua
Ile ilikuwa ni timu ya watalii.Kaizer Chief 4 - simba sc 0
tuwe makini kuna wakati tunafukuza watalii bila kujijua
Na safari ikaishia hapo, visit Tanzania ikahamia viwanja vya Mpanda na Morogoro.Ikaja ikapiga tatu ikiwa imevaa visit Tanzania
KabisaIkatoka ikiwa imevaa Visit Tanzania
Na inaanzia botswana oct na watswanaNa safari ikaishia hapo, visit Tanzania ikahamia viwanja vya Mpanda na Morogoro.