Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati huo inacheza, hiyo ilikuwa ni mechi ya nne ugenini. Sasa utopolo mechi moja na ya mwisho tu, tangazo la nini?Kaizer Chief 4 - simba sc 0
tuwe makini kuna wakati tunafukuza watalii bila kujijua
Umesahau mlivyofungwa mbele ya samia? Hivi hiyo aibu mnadhani itafutika?Umesahau kuna timu bovu huwa linafungwa kila mara uwanja wa mkapa na kutia aibu taifa
Aaah hii aibu inaweza kufutika maana ni mashindano ya ndani.Vipi hii ya kualika mgeni akakufunga huoni hiyo ni hatari maana utajulikana ndani na nje ya mipaka ya nchi😏😏Umesahau mlivyofungwa mbele ya samia? Hivi hiyo aibu mnadhani itafutika?
Ahaaaaa kaaa kwa kutulia leo tunawanyoosha.bugati wetu ashafika😂😂😂Aaah hii aibu inaweza kufutika maana ni mashindano ya ndani.Vipi hii ya kualika mgeni akakufunga huoni hiyo ni hatari maana utajulikana ndani na nje ya mipaka ya nchi😏😏
kumbe li bugati siku hizi linapata namba kwenye first squad yenu?🤣🤣 kama ndo hivo basi ngoja nkae kwa kutulia kweli.Ila sisi hashtag yetu leo ni #Go Rivers United #one team one dream🦁🦁Ahaaaaa kaaa kwa kutulia leo tunawanyoosha.bugati wetu ashafika😂😂😂