Aaah hii aibu inaweza kufutika maana ni mashindano ya ndani.Vipi hii ya kualika mgeni akakufunga huoni hiyo ni hatari maana utajulikana ndani na nje ya mipaka ya nchi😏😏
Aaah hii aibu inaweza kufutika maana ni mashindano ya ndani.Vipi hii ya kualika mgeni akakufunga huoni hiyo ni hatari maana utajulikana ndani na nje ya mipaka ya nchi😏😏
kumbe li bugati siku hizi linapata namba kwenye first squad yenu?🤣🤣 kama ndo hivo basi ngoja nkae kwa kutulia kweli.Ila sisi hashtag yetu leo ni #Go Rivers United #one team one dream🦁🦁