Kuna Timu inapanga kucheza Mechi 2 au 3 za Kirafiki ili Kutuliza Mashabiki wake na Tano Tano za Wanaojua Tanzania

Kuna Timu inapanga kucheza Mechi 2 au 3 za Kirafiki ili Kutuliza Mashabiki wake na Tano Tano za Wanaojua Tanzania

GENTAMYCINE nina Ombi langu Moja tu kwa hiyo Timu (niliyoisahau Jina kwa sasa) kuwa naomba katika hizo Timu wanazotaka Kuziomba Kucheza nazo Mechi za Kirafiki Kipindi hiki Ligi Kuu ya NBC inasimama Yanga SC nayo iwemo ili nao Wafungwe Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na waanze Kuzizoea kabla ya kukutana nao katika Ligi October au November Mkapa Stadium ili Wakipigwa ( Wakifungwa ) nao Goli 8 au 10 wasije Kushangaa sana.

Na Mashabiki wa hiyo Timu tulivyo Wapumbavu ( Mapopoma ) tukishinda Goli Sita Sita katika hizo Mechi zetu za Kirafiki tutaanza Kutamba na Kuringa kuwa tuko vizuri kuliko Wao ( Wazee wa Hamsa Hamsa katika Ligi Kuu ya NBC kwa sasa ) na Ligi ikirejea tunarejea katika ule ule Utamaduni wetu Tukuka wa Goli Kiduchu, Mpira Mbovu na Mashabiki kuwa na Sura za Usununu ( Kununa ) tu.

Umeona wapi Pre Season Wachezaji wanaenda Kimafungu Mafungu kama Ndizi za Mgeta Morogoro huku Kocha akisafiri kwenda Kwao halafu Chief of Scout wa Timu ameteuliwa kwa Sifa Kuu ya kuwa Mhudhuriaji wa Mechi za hiyo Timu ( niliyoisahau Jina kwa sasa ) Uwanja wa Benjamin Mkapa?

Tukiitwa Wapumbavu tunakasirika!!!
Screenshot_20230828-131329.png
 
Hiyo timu inayojua mbona ilishachakazwa goli 5 na timu uliyoisahau jina

Mbona pale mkwakwani zilikutana na hizo goli tano haikutokea hata moja?
Wakina Mangungu wanawapenda mashabiki maandazi kama wewe ndio maana wakawaletea wakina konde boy
 
timu zote afrika mashariki na kati zinajifunza kwa SIMBA na wanajiuliza imekuwaje ni ya 7 africa na haijaanzia hatua za awali caf. Simba ni level ya wakubwa sana ambapo hata hao utopolo wanajiuliza na wanajifunza na kupita njia za kaka yao. Simba ni kubwa.
Teh teh teh eti zinajifunza,kweli Rage aishi miaka mingi
 
GENTAMYCINE nina Ombi langu Moja tu kwa hiyo Timu (niliyoisahau Jina kwa sasa) kuwa naomba katika hizo Timu wanazotaka Kuziomba Kucheza nazo Mechi za Kirafiki Kipindi hiki Ligi Kuu ya NBC inasimama Yanga SC nayo iwemo ili nao Wafungwe Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na waanze Kuzizoea kabla ya kukutana nao katika Ligi October au November Mkapa Stadium ili Wakipigwa ( Wakifungwa ) nao Goli 8 au 10 wasije Kushangaa sana.

Na Mashabiki wa hiyo Timu tulivyo Wapumbavu ( Mapopoma ) tukishinda Goli Sita Sita katika hizo Mechi zetu za Kirafiki tutaanza Kutamba na Kuringa kuwa tuko vizuri kuliko Wao ( Wazee wa Hamsa Hamsa katika Ligi Kuu ya NBC kwa sasa ) na Ligi ikirejea tunarejea katika ule ule Utamaduni wetu Tukuka wa Goli Kiduchu, Mpira Mbovu na Mashabiki kuwa na Sura za Usununu ( Kununa ) tu.

Umeona wapi Pre Season Wachezaji wanaenda Kimafungu Mafungu kama Ndizi za Mgeta Morogoro huku Kocha akisafiri kwenda Kwao halafu Chief of Scout wa Timu ameteuliwa kwa Sifa Kuu ya kuwa Mhudhuriaji wa Mechi za hiyo Timu ( niliyoisahau Jina kwa sasa ) Uwanja wa Benjamin Mkapa?

Tukiitwa Wapumbavu tunakasirika!!!
Aahaaaaaa
 
Mkuu uwe unarudia kusoma nyuzi zako za nyuma kabla ya kuachia mwingine!!, Unaongoza kuandika nyuzi zinazkokinzana na mawazo yako kabisa... Wasiwasi wangu nikuwa uliwahi kuugua kichaa ukapona kidogoo sasa usippwahi kunywa dawa akili zako ndio zinakuwa zile za kishirikina na kupongeza uongozi wa Simba kuiba mchezaji Airport japo hakuwa kwenye mipango ya kocha. Ila ukiwa kunywq dawa basi akili zako ndio hizi za asili kabla ya kichaa kupanda.
 
Km kumfunga mtu tano ni kujua basi simba ashamfunga mtu saba mara kibao tuu..tujadilini soka wazee
 
Mkiingia kwenye 18 zetu nyie timu mliojisahau jina tunawapa 7G.Itawatosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Mrudishe 5 tulizowapa 2012.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SIKUUELEWA USAJILI WA SIMBA MDA MREFU SANANILIUKATAA HAPA JUKWAANI.


mashabiki WA Simba na Wana JF wenzangu mkanikataa.

JAMII Forum ndio INATAKIWA aiwe REJEA kwa VIONGOZI wote Tanzania kuanzia RAIS HADI MJUMBE.

Kama JF Simba Tungetoa maoni yetu na kuwasilisha kwa Uongozi Yale tunayotaka yafanyike kuepusha AIBU tunayoenda kuipata.
 
Back
Top Bottom