SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
He who laughs last laughs loudest
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikutegemea kumbe kweli.Hatimaye yametimia [emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati mwingine huwa nakukubali sana, ili ukianzaga kuzingua dah....GENTAMYCINE nina Ombi langu Moja tu kwa hiyo Timu (niliyoisahau Jina kwa sasa) kuwa naomba katika hizo Timu wanazotaka Kuziomba Kucheza nazo Mechi za Kirafiki Kipindi hiki Ligi Kuu ya NBC inasimama Yanga SC nayo iwemo ili nao Wafungwe Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na waanze Kuzizoea kabla ya kukutana nao katika Ligi October au November Mkapa Stadium ili Wakipigwa ( Wakifungwa ) nao Goli 8 au 10 wasije Kushangaa sana.
Na Mashabiki wa hiyo Timu tulivyo Wapumbavu ( Mapopoma ) tukishinda Goli Sita Sita katika hizo Mechi zetu za Kirafiki tutaanza Kutamba na Kuringa kuwa tuko vizuri kuliko Wao ( Wazee wa Hamsa Hamsa katika Ligi Kuu ya NBC kwa sasa ) na Ligi ikirejea tunarejea katika ule ule Utamaduni wetu Tukuka wa Goli Kiduchu, Mpira Mbovu na Mashabiki kuwa na Sura za Usununu ( Kununa ) tu.
Umeona wapi Pre Season Wachezaji wanaenda Kimafungu Mafungu kama Ndizi za Mgeta Morogoro huku Kocha akisafiri kwenda Kwao halafu Chief of Scout wa Timu ameteuliwa kwa Sifa Kuu ya kuwa Mhudhuriaji wa Mechi za hiyo Timu ( niliyoisahau Jina kwa sasa ) Uwanja wa Benjamin Mkapa?
Tukiitwa Wapumbavu tunakasirika!!!
Akiwasema nyia anazingua akitusema simba mna mkubali ?Wakati mwingine huwa nakukubali sana, ili ukianzaga kuzingua dah....
Sijawahi kuona unaizungumza Simba vizuri. Negativity! Negativity! Uchawi!GENTAMYCINE nina Ombi langu Moja tu kwa hiyo Timu (niliyoisahau Jina kwa sasa) kuwa naomba katika hizo Timu wanazotaka Kuziomba Kucheza nazo Mechi za Kirafiki Kipindi hiki Ligi Kuu ya NBC inasimama Yanga SC nayo iwemo ili nao Wafungwe Hamsa Hamsa ( Tano Tano ) na waanze Kuzizoea kabla ya kukutana nao katika Ligi October au November Mkapa Stadium ili Wakipigwa ( Wakifungwa ) nao Goli 8 au 10 wasije Kushangaa sana.
Na Mashabiki wa hiyo Timu tulivyo Wapumbavu ( Mapopoma ) tukishinda Goli Sita Sita katika hizo Mechi zetu za Kirafiki tutaanza Kutamba na Kuringa kuwa tuko vizuri kuliko Wao ( Wazee wa Hamsa Hamsa katika Ligi Kuu ya NBC kwa sasa ) na Ligi ikirejea tunarejea katika ule ule Utamaduni wetu Tukuka wa Goli Kiduchu, Mpira Mbovu na Mashabiki kuwa na Sura za Usununu ( Kununa ) tu.
Umeona wapi Pre Season Wachezaji wanaenda Kimafungu Mafungu kama Ndizi za Mgeta Morogoro huku Kocha akisafiri kwenda Kwao halafu Chief of Scout wa Timu ameteuliwa kwa Sifa Kuu ya kuwa Mhudhuriaji wa Mechi za hiyo Timu ( niliyoisahau Jina kwa sasa ) Uwanja wa Benjamin Mkapa?
Tukiitwa Wapumbavu tunakasirika!!!
Hujawahi kuitakia Simba jema lolote. Kufeli KWA Simba Ni furaha yako! Ili uendeleze uchawi na ulozi wako.Ipi hiyo Mkuu? Biashara United FC ya Kwetu Mkoani Mara / Musoma ninayoishabikia hasa au?
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!Sikutegemea kumbe kweli.
Sikupata ile Tuzo Kimakosa JamiiForums.wewe jamaa unapiga popote.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!Wakati mwingine huwa nakukubali sana, ili ukianzaga kuzingua dah....
Mashabiki wa Yanga SC hapa JamiiForums ni WANAFIKI mno na nimefurahi ulivyompasha hapo na uko sahihi 100%Akiwasema nyia anazingua akitusema simba mna mkubali ?
Aliesema wenye akili huko kwenu ni wawili tu hakukosea
SAGAI GALGANO na rodrick alexander bila wana Simba SC Wengine hapa JamiiForums eti ni kweli GENTAMYCINE sijawahi / hajawahi Kuandika Habari zozote Positive ( Chanya ) za Kuihusu Simba SC yetu? Tafadhali nisaidieni kunijibia huyu Mpumbavu Mmoja.Sijawahi kuona unaizungumza Simba vizuri. Negativity! Negativity! Uchawi!
Tangu Januàry Hadi September huandiki lolote jema kuhusu Simba!
Ni kweli Simba haina Jambo jema inalofanya?
Nadhani Ni project maalumu kuhakikisha unaishusha brand ya Simba kwa namna yyte!
Mtu usiyeona jema huna tofauti na wakala wa kuzimu. Wewe Ni mchawi! Jinsi ambavyo huna jema ndivyo ambavyo hata wee hubarikiwi kwa lolote.
Binadamu ambaye kila unachoandika Ni kukwaza wengine, wewe Ni wakala wa shetani.
Kwamba Simba haikutakiwa kufanya mechi za kirafiki kujiandaa? Kwamba Simba inacheza kutafuta goli 5. Yaani ww ndio CEO ,Mkiti, Bodi ya wakurugenzi Simba.Yaani hao wote hawaijui Simba km ww.
Huna jema na hutapata mema! Badilika!
SAGAI GALGANO na rodrick alexander bila wana Simba SC Wengine hapa JamiiForums eti ni kweli GENTAMYCINE sijawahi / hajawahi Kuandika Habari zozote Positive ( Chanya ) za Kuihusu Simba SC yetu? Tafadhali nisaidieni kunijibia huyu Mpumbavu Mmoja.Hujawahi kuitakia Simba jema lolote. Kufeli KWA Simba Ni furaha yako! Ili uendeleze uchawi na ulozi wako.
Yanga ina hazina kubwa sana ya wapumbavuMashabiki wa Yanga SC hapa JamiiForums ni WANAFIKI mno na nimefurahi ulivyompasha hapo na uko sahihi 100%
Kulithibitisha hilo kuna Uzi nauandaa Usiku huu au nitauleta hapa JamiiForums Kesho wa kuwahusu Yanga SC hivyo hawa hawa ambao Leo wananipongeza hapa watakavyonigeuka na kuanza Kunitukana kama siyo Kunishambulia.
UmelowaaaaaaYanga ina hazina kubwa sana ya wapumbavu