GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Siku zingine tumieni Akili haiwezekani Mwenzako anafanya Tamasha lake leo na unajua kabisa kuwa Uwanja utakuwa Busy, Matukio ni mengi na Branding nazo zikiwa za kila aina ambazo hata Kuziondoa nazo huchukua muda halafu na Wewe unataka ufanye Tamasha lako Kesho yake.
Kuna aina fulani ya Usumbufu itakayotokea. Haya jiandae Kuzoa Kwanza Takataka zitakazoachwa na Wanaowatangulia kisha ndiyo nanyi muanze Maandalizi yenu. Kwani mngefanya Tamasha lenu baada ya Siku moja au mbili ya Tamasha lao mngepungukiwa nini?
Na hata kama Kisingizio kitakuwa ni Mechi yenu nao Eight Eight mlishindwa nini tu Kuwaomba TFF ambao mnasema Mnawamudu wasogeze mbele hiyo Mechi? Na ninavyojua Jamaa walivyopanga Kuwakomoa yaani 'Wataukweka' Kimakusudi ili mje muyazoe na Kusafisha.
Siku zingine / Mwakani jitahidini mtumie Akili sawa?
Imeisha hiyo.......!!
Kuna aina fulani ya Usumbufu itakayotokea. Haya jiandae Kuzoa Kwanza Takataka zitakazoachwa na Wanaowatangulia kisha ndiyo nanyi muanze Maandalizi yenu. Kwani mngefanya Tamasha lenu baada ya Siku moja au mbili ya Tamasha lao mngepungukiwa nini?
Na hata kama Kisingizio kitakuwa ni Mechi yenu nao Eight Eight mlishindwa nini tu Kuwaomba TFF ambao mnasema Mnawamudu wasogeze mbele hiyo Mechi? Na ninavyojua Jamaa walivyopanga Kuwakomoa yaani 'Wataukweka' Kimakusudi ili mje muyazoe na Kusafisha.
Siku zingine / Mwakani jitahidini mtumie Akili sawa?
Imeisha hiyo.......!!