Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo akizikwa leo kesho tu anaitwa hayati?Marehemu kabla ya mazishi. Hayati baada baada ya mazishi
Jina hubadilika baada ya siku 40 kutoka marehemu mpaka kuwa hayatiHayati Ni mtu aliyefariki Na kuzikwa kitambo, marehemu Ni mtu aliyefariki Na Kama kuzikwa Ni siku kadhaa Tu!
Sio kesho. Mkigeuka kutoka makaburinikwahiyo akizikwa leo kesho tu anaitwa hayati?
Umeongea point ndugu yangu,kuna wengine wanafanya mzaha mahali sio pake,Ushauri wa bure fikiri mara mbili mbili kabla hujaandika kitu. Kwanini unakuwa na dhihaka hivi?
Tujifunze kuwa serious katika kuelimishana na sio kuleta utani na mizaha maana haisadii kitu.
Haya maneo ya Marehemu(Apate Rehema za Mungu) na Hayati(mwenye Afya,uzima)yanatoka katika lugha ya kiarabu.Neno hasa la kutumika kwa aliyefariki ni Marehemu,ukitumia neno hayati ,ni makosa kwasabau hayati ni uhai sio kifo.Mara nyingi mtu anapofariki jina lake hutanguliwa na neno 'marehemu'na wachache sana 'hayati' je kuna sifa maalum ambazo zinasababisha kutanguliwa na maneno hayo? Je kwa Tanzania kuna hayati mwingine zaidi ya baba wa taifa?
Mmmh! Eeeh... small "faza".Kama baba mdogo tu....hakipo
Kutokana na maelezo yako mkuu je Matonya aliyekuwa maarufu kwa kuomba mgogo yule ni hayati au marehemu?! Maana kama legacy kaacha maana watu wakiomba tu huitwa Matonya means anaishi badoHayati ni neno la kiarabu likimaanisha uhai, kwa hiyo mtu aliyekufa na kuacha Legacy yaani bado kuna vitu alifanya kwa manufaa ya jamii au dunia na bado vinaishi huyu ndiye huitwa hayati kwa maana kafa lakini bado anaishi kutokana na legacy aliyoiacha wala siyo lazima kuwa maarufu au tajiri.
hata Masikini anaweza kuacha Legacy, kwa mfano anaweza kusema ana eneo lake ligeuzwe kujengwa shule au hospitali au kisima au msikiti au kanisa na ikafanyika hivyo huyu ni hayati maana kaacha legacy kile alichokuwa akimiliki pamoja na umasikini wake bado kinaishi na kinainufaisha jamii aliyoiacha.
Mwingine anaweza kufundisha ujuzi vijana na wale vijana wakanufaika na ule ujuzi na ukanufaisha jamii, kwa hiyo elimu yake aliyoitoa bado inaishi na inainufaisha jamii huyu naye ni hayati.
Lakini ukifa na kashfa kibao za ufisadi wa mali, ufisadi wa mapenzi au dhulma au uchawi yaani kifo chako kikaleta nafuu kwa jamii, basi wewe ni marehemu tu huwezi kupewa heshma ya kuitwa hayati.
Kwa hiyo kila mtu ajitathmini kama yeye akifa ataitwa Hayati au Marehemu?
Kwa kifupi neno hayati ni uhai wenye Afya,sio uhai wa kuwa umekufa,halafu,uitwe uko hai.Kutokana na maelezo yako mkuu je Matonya aliyekuwa maarufu kwa kuomba mgogo yule ni hayati au marehemu?! Maana kama legacy kaacha maana watu wakiomba tu huitwa Matonya means anaishi bado
Hayati ni neno la kiarabu likimaanisha uhai, kwa hiyo mtu aliyekufa na kuacha Legacy yaani bado kuna vitu alifanya kwa manufaa ya jamii au dunia na bado vinaishi huyu ndiye huitwa hayati kwa maana kafa lakini bado anaishi kutokana na legacy aliyoiacha wala siyo lazima kuwa maarufu au tajiri.
hata Masikini anaweza kuacha Legacy, kwa mfano anaweza kusema ana eneo lake ligeuzwe kujengwa shule au hospitali au kisima au msikiti au kanisa na ikafanyika hivyo huyu ni hayati maana kaacha legacy kile alichokuwa akimiliki pamoja na umasikini wake bado kinaishi na kinainufaisha jamii aliyoiacha.
Mwingine anaweza kufundisha ujuzi vijana na wale vijana wakanufaika na ule ujuzi na ukanufaisha jamii, kwa hiyo elimu yake aliyoitoa bado inaishi na inainufaisha jamii huyu naye ni hayati.
Lakini ukifa na kashfa kibao za ufisadi wa mali, ufisadi wa mapenzi au dhulma au uchawi yaani kifo chako kikaleta nafuu kwa jamii, basi wewe ni marehemu tu huwezi kupewa heshma ya kuitwa hayati.
Kwa hiyo kila mtu ajitathmini kama yeye akifa ataitwa Hayati au Marehemu?