Kuna tofauti gani ya maslahi kati ya muhasibu mwenye CPA na asiye na CPA?

Kuna tofauti gani ya maslahi kati ya muhasibu mwenye CPA na asiye na CPA?

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Wizarani na halmashauri muhasibu mwenye degree huanza na TGS D, 7.1k

Je, ukiwa na CPA kuna chochote kinaongezeka?
 
Mishahara huwa hailipwi kwa kufata kiwango cha elimu. Bali inalipwa kwa kufata majukumu unayofanya ama cheo ulichonacho.

Hata mtu akiwa na PHD ya physics ama PHD ya Medicine kama huyo mtu ataajiriwa kama mlinzi. Basi atalipwa mshahara wa mlinzi bila kujali PHD yake
 
Sio kweli, Tafuta kitabu Cha miongozo ya kiutumishi.

Mwenye CPA hawezi kulipwa sawa na asiyekuwa nayo.

Degree+CPA ni Muhasibu
Degree Only ni Afisa Hesabu.
Hiyo ni kwenye makaratasi. Kwenye uhalisia

diploma + Uzoefu ni mshahara mnono
Degree + Uhasibu - Uzoefu ni sifuri
Degree + Uhasibu + uzoefu ni mtaalam mwenye pesa zake anayeheshimika sana.

Tatizo ni kupenya ili uupate huo uzoefu. Kwenye kupenya haijalishi una diploma, digrii, cpa au nini ww penya kwanza.
 
Hiyo ni kwenye makaratasi. Kwenye uhalisia

diploma + Uzoefu ni mshahara mnono
Degree + Uhasibu - Uzoefu ni sifuri
Degree + Uhasibu + uzoefu ni mtaalam mwenye pesa zake anayeheshimika sana.

Tatizo ni kupenya ili uupate huo uzoefu. Kwenye kupenya haijalishi una diploma, digrii, cpa au nini ww penya kwanza.

Je fresh graduate alieunganisha na CPA ni bold move au inakuwaje?
 
Je fresh graduate alieunganisha na CPA ni bold move au inakuwaje?
Ni move sahihi sababu ni elimu na atakapopata nafasi akapata uzoefu atakuwa na faida ya kutokurudi shule kuitafuta CPA. Ila before that au kama hatapata nafasi ya ajira umuhimu wake utakuja akiwa CPA-PP na akawa na akili ya kutengeneza soko. Kinyume na hapo ni ujinga tu na kapoteza muda.
 
Hiyo ni kwenye makaratasi. Kwenye uhalisia

diploma + Uzoefu ni mshahara mnono
Degree + Uhasibu - Uzoefu ni sifuri
Degree + Uhasibu + uzoefu ni mtaalam mwenye pesa zake anayeheshimika sana.

Tatizo ni kupenya ili uupate huo uzoefu. Kwenye kupenya haijalishi una diploma, digrii, cpa au nini ww penya kwanza.
Hii naona umeongelea zaidi kwenye mashirika binafsi na taasisi za serikali. Ila wizarani na halmshauri hata kama ulikuwa na uzoefu wa miaka 20 ukianza kazi lazima uanze chini kama fresh
 
Hii naona umeongelea zaidi kwenye mashirika binafsi na taasisi za serikali. Ila wizarani na halmshauri hata kama ulikuwa na uzoefu wa miaka 20 ukianza kazi lazima uanze chini kama fresh
Aisee.... Mtu mwenye uzoefu wa miaka 20 ana umri wa miaka mingapi? kwann akaajiriwe kama fresh graduate na wizara/almashauri na fresh graduate wapo? Na ni mazingira gani yatamfanya awe kwenye nafasi ya kulikubali hilo? Halafu ukishakuwa na uzoefu unakuwa na soko binafsi pia, si rahisi mtu kuruhusu hiyo hali. Wewe unamfaham mtu mwenye uzoefu miaka 20 akaja kuajiriwa akaanza upya kama mtu aliyetoka chuo/graduate?
 
Aisee.... Mtu mwenye uzoefu wa miaka 20 ana umri wa miaka mingapi? kwann akaajiriwe kama fresh graduate na wizara/almashauri na fresh graduate wapo? Na ni mazingira gani yatamfanya awe kwenye nafasi ya kulikubali hilo? Halafu ukishakuwa na uzoefu unakuwa na soko binafsi pia, si rahisi mtu kuruhusu hiyo hali. Wewe unamfaham mtu mwenye uzoefu miaka 20 akaja kuajiriwa akaanza upya kama mtu aliyetoka chuo/graduate?
Ok
 
Yaani CPA hawazingatii kabisa kwenye mshahara unaweza ukala TGS D wakati una CPA wakati mwenzako hana CPA anakula mshahara mkubwa kuliko mwenye CPA
tafuta mshahara wa CPA anaefanya kazi halmashauri hlf tafuta mashahara wa CPA anaefanya kazi TANAPA au TPA uone utofaut wa mishahara wakati level ya elimu sawa


bongo hii mishahara ya halmashauri na taasisi zilizo chini ya tamisemi ni kidocho sana
 
tafuta mshahara wa CPA anaefanya kazi halmashauri hlf tafuta mashahara wa CPA anaefanya kazi TANAPA au TPA uone utofaut wa mishahara wakati level ya elimu sawa


bongo hii mishahara ya halmashauri na taasisi zilizo chini ya tamisemi ni kidocho sana
Ndicho nilichomaanisha hiki
 
tafuta mshahara wa CPA anaefanya kazi halmashauri hlf tafuta mashahara wa CPA anaefanya kazi TANAPA au TPA uone utofaut wa mishahara wakati level ya elimu sawa


bongo hii mishahara ya halmashauri na taasisi zilizo chini ya tamisemi ni kidocho sana

Duh!
 
Back
Top Bottom