Kuna tofauti gani ya maslahi kati ya muhasibu mwenye CPA na asiye na CPA?

Kuna tofauti gani ya maslahi kati ya muhasibu mwenye CPA na asiye na CPA?

ACCOUNTANTS AND AUDITORS (REGISTRATION) ACT isome hio mkuu nadhani utaelewa au omba ueleweshwe shida ni kwamba HRs wengi ni very ignorant na ndio maana huwa wanatumia hio statement, ama hutumika kumaani hawahitaji mtu mwenye CPA, ila akijitokeza atapewa kipaombele. ukae ukijua kuwa CPA ni basic requirement ya Accountant nasio added advantage, nadhani huwa wanaitumia hio lugha pasipo wao wenyewe kuielewa, na hii lugha hutumika tuu kwa wale ambao hajasoma CPA, sheria haimtambui mtu yeyote asiye na CPA kama mhasibu, haijalishi awe na uzoefu au laa, na hata mtu akiwa na CPA bado inamtaka kuendelea kusoma na kujifunza maswala mbalimbali kuhusu uhasibu kwani taaluma ambayo misingi na mifumo ya kupractice huwa inabadilika mara kwa mara. na ndio maana huwezi funga hesabu bila kuwa na mhasibu mwenye CPA, Kuna majukumu ya uhasibu huwezi mpa mtu asiyena CPA kisheria hairuhusiwi, na ndio maana wenye CPA hujikuta wanalipwa zaidi kuliko wasio na CPA kwa ajili ya majukumu watakayolazimika kuyabeba.

Kpmg, delloite, pwc, ernst and young. Ina madogo kibao hawana cpa ila wapo nondo sana. Na ndio hao hao wanaopata nafasi kubwa za kihasibu sehemu kibao.

Mfano yule CEO wa NMB bank amefanya kazi pwc miaka 10 na hajasoma cpa ya kibongo amesoma ACCA ila standard chartered wakampa u chief financial officer na alivyohamia NMB akapewa u CFO na then u CEO..

Kuna sehemu ukifanya kazi hata kama huna CPA unakuwa unajua kazi.

Na huko wanakushauri ufanye ACCA sababu ya international assigments kazini
 
Kpmg, delloite, pwc, ernst and young. Ina madogo kibao hawana cpa ila wapo nondo sana. Na ndio hao hao wanaopata nafasi kubwa za kihasibu sehemu kibao.

Mfano yule CEO wa NMB bank amefanya kazi pwc miaka 10 na hana cpa ila standard chartered wakampa u chief financial officer na alivyohamia NMB akapewa u CFO na then u CEO..

Kuna sehemu ukifanya kazi hata kama huna CPA unakuwa unajua kazi.

Na huko wanakushauri ufanye ACCA sababu ya international assigments kazini
anaweza kuwa na ACCA so iyo CPA ni bongo tu
 
Enyi vijana wa fani hii ya uhasibu someni CPA
Narudia CPA .CPA u will thanks me later

Hzo mishara zenu za serekali hmn kitu kbsa
Niko na mtu hapa alalipwa milioni 2 na laki nane ktk kampuni Moja hapa dsm Ana CPA 2017
Mwingine Ni finance manager ktk kampuni hyo hyo anakunja milion 13 kwa mwez na kila kitu kapewa pia
Hapo mwingine Ni chief finance officer ktk kampuni fln Ni CPA holder anakunja m 15 kwa mwezi


Sasa nyinyi endeleeni kuangaika na sijui tgd sijui rang gan

Soma cpa tafuta Kaz ktk makampuni au mashirik ya umma Kama tanesco .coz RFO tu tanesco yaani regional finance officer anakunja milion tano HV

CPA Soma hata Kama hkn ajira ila ukipata with six months tu umebadilikA kimaisha
 
ACCOUNTANTS AND AUDITORS (REGISTRATION) ACT isome hio mkuu nadhani utaelewa au omba ueleweshwe shida ni kwamba HRs wengi ni very ignorant na ndio maana huwa wanatumia hio statement, ama hutumika kumaani hawahitaji mtu mwenye CPA, ila akijitokeza atapewa kipaombele. ukae ukijua kuwa CPA ni basic requirement ya Accountant nasio added advantage, nadhani huwa wanaitumia hio lugha pasipo wao wenyewe kuielewa, na hii lugha hutumika tuu kwa wale ambao hajasoma CPA, sheria haimtambui mtu yeyote asiye na CPA kama mhasibu, haijalishi awe na uzoefu au laa, na hata mtu akiwa na CPA bado inamtaka kuendelea kusoma na kujifunza maswala mbalimbali kuhusu uhasibu kwani taaluma ambayo misingi na mifumo ya kupractice huwa inabadilika mara kwa mara. na ndio maana huwezi funga hesabu bila kuwa na mhasibu mwenye CPA, Kuna majukumu ya uhasibu huwezi mpa mtu asiyena CPA kisheria hairuhusiwi, na ndio maana wenye CPA hujikuta wanalipwa zaidi kuliko wasio na CPA kwa ajili ya majukumu watakayolazimika kuyabeba.
Ni taaluma gani isiyobadilika mara kwa mara mkuu na ni taaluma gani isiyohitaji kupractise mara kwa mara?
 
nyingi tuu, hawana haja ya kujiendeleza, hazina haziko regulated hata kidogo. na hata mtu akifanya makosa yakitaaluma hakuna action yeyote inayoweza kuchukuliwa. lakini fanya hivyo kwa madaktari, mawakili au accountants unaweza ukafutiwa kila kitu, na ukazuiliwa kabisa kufanya kazi hili sio suala la debate hii issue iko wazi, huwezi linganisha na HRs, japo newenyewe skuizi naskia wanampango wa kuanzisha, utaratibu huo.
Bro jiangalie sana,kila taaluma zinabadilika inategemea unazungumzia mabadiliko gani ila hayo ya hatua za kuchukuliwa hapanaaa
 
CPA umuhimu wake ni kama upo serikalini utakuwa na cheo cha Mhasibu . Na kama huna CPA utaitwa Afisa Hesabu na maslahi mtatofautiana .
 
Wizarani na halmashauri muhasibu mwenye degree huanza na TGS D, 7.1k

Je, ukiwa na CPA kuna chochote kinaongezeka?
Mtu mwenye CPA + degree na degree plain mkianza kazi mwenye CPA anaanza na.mshahar mkubwa
 
Kpmg, delloite, pwc, ernst and young. Ina madogo kibao hawana cpa ila wapo nondo sana. Na ndio hao hao wanaopata nafasi kubwa za kihasibu sehemu kibao.

Mfano yule CEO wa NMB bank amefanya kazi pwc miaka 10 na hana cpa ila standard chartered wakampa u chief financial officer na alivyohamia NMB akapewa u CFO na then u CEO..

Kuna sehemu ukifanya kazi hata kama huna CPA unakuwa unajua kazi.

Na huko wanakushauri ufanye ACCA sababu ya international assigments kazini
CPA kafanya 2005...
 
Mtu akiwa na CPA ni rahisi sana kupanda daraja na kuja kua Head wa department.

Afu kingine,Mwenye CPA anakua na soko kubwa la ajira sehemu nyingine tofauti na asiye CPA.

Kumbuka CPA holder ndio Muhasibu na Non CPA holder ni Afisa Mahesabu.

[emoji12]
 
Back
Top Bottom