Kuna tofauti gani ya maslahi kati ya muhasibu mwenye CPA na asiye na CPA?

Kuna tofauti gani ya maslahi kati ya muhasibu mwenye CPA na asiye na CPA?

jmsjrln ameeleza vizuri sana huko juu.

Mie nimewahi kufanya kazi za ki-uhasibu kabla sijapata CPA, najua fika madhira niliyokuwa nayapata kipindi hiko kuanzia ki fedha,kitaaluma mpaka kimamlaka.

Kama wewe una Degree tu na hauna CPA please go for it....that's not a joke!!

Labda uwe upo kibaruani/kazini tayari na umepata mazingira salama ,hapo sitotia neno.

Ila kama haujapata kazi au upo kwenye taasisi zenye ushindani rafiki nenda kachukie CPA.
 
Kpmg, delloite, pwc, ernst and young. Ina madogo kibao hawana cpa ila wapo nondo sana. Na ndio hao hao wanaopata nafasi kubwa za kihasibu sehemu kibao.

Mfano yule CEO wa NMB bank amefanya kazi pwc miaka 10 na hana cpa ila standard chartered wakampa u chief financial officer na alivyohamia NMB akapewa u CFO na then u CEO..

Kuna sehemu ukifanya kazi hata kama huna CPA unakuwa unajua kazi.

Na huko wanakushauri ufanye ACCA sababu ya international assigments kazini
Ebu soma vizuri cv ya yule mama uone kama hana cpa.huko private sector huwezi fikia kuwa cfo afu usiwe na cpa aisee..hiyo nakataa

Screenshot_20220216-042832_Opera Mini.jpg
 
Halmashauri mwenye CPA (T) na asiye na CPA tofauti yao laki 2
Ila na experience wanazingatia zaidi maana wengine wana CPA lakini kazidiwa mshahara ambaye hana CPA ila ana experience zaid
 
Kpmg, delloite, pwc, ernst and young. Ina madogo kibao hawana cpa ila wapo nondo sana. Na ndio hao hao wanaopata nafasi kubwa za kihasibu sehemu kibao.

Mfano yule CEO wa NMB bank amefanya kazi pwc miaka 10 na hana cpa ila standard chartered wakampa u chief financial officer na alivyohamia NMB akapewa u CFO na then u CEO..

Kuna sehemu ukifanya kazi hata kama huna CPA unakuwa unajua kazi.

Na huko wanakushauri ufanye ACCA sababu ya international assigments kazini
ushauri mzuri munoo
 
Back
Top Bottom