The MaskmaN
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 350
- 764
jmsjrln ameeleza vizuri sana huko juu.
Mie nimewahi kufanya kazi za ki-uhasibu kabla sijapata CPA, najua fika madhira niliyokuwa nayapata kipindi hiko kuanzia ki fedha,kitaaluma mpaka kimamlaka.
Kama wewe una Degree tu na hauna CPA please go for it....that's not a joke!!
Labda uwe upo kibaruani/kazini tayari na umepata mazingira salama ,hapo sitotia neno.
Ila kama haujapata kazi au upo kwenye taasisi zenye ushindani rafiki nenda kachukie CPA.
Mie nimewahi kufanya kazi za ki-uhasibu kabla sijapata CPA, najua fika madhira niliyokuwa nayapata kipindi hiko kuanzia ki fedha,kitaaluma mpaka kimamlaka.
Kama wewe una Degree tu na hauna CPA please go for it....that's not a joke!!
Labda uwe upo kibaruani/kazini tayari na umepata mazingira salama ,hapo sitotia neno.
Ila kama haujapata kazi au upo kwenye taasisi zenye ushindani rafiki nenda kachukie CPA.