Kuna ubaya au uzuri gani wa kulisha mbwa nyama mbichi?

Kuna ubaya au uzuri gani wa kulisha mbwa nyama mbichi?

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Binafsi napenda mbwa sana. Na nimejifunza tangu zamani lazima chakula cha mbwa kipikiwe
Sasa kuna clip naona mbwa wanalishwa chakula au nyama mbichi fresh tu. Je hii haina madhara kwene makuzi ya mbwa hasa wizi wa mifugo na udokozi

2EC2DDB2-9511-4574-99D8-0C07F6A39DD2.jpeg
 
Huu upumbufu umezidi sasa!!!

Paw
Active
JamiiForums

Na moderator wengine, fatilia ujinga anapost huyu Perfectz then mtwambie ni nini au mmezibwa macho??

Mada serious mtu anatuandikia utumbo huu??

Shwain kabisa
Wanajua kufuta mada za msingi na kuwapa Ban watu wanaokuwa na hoja za msingi, ila upumbavu kama huu huwa hawafuatilii na ndio servers za Jf zimejaa huu upuuzi.
 
Back
Top Bottom