Kuna ubaya au uzuri gani wa kulisha mbwa nyama mbichi?

Kuna ubaya au uzuri gani wa kulisha mbwa nyama mbichi?

Babu ingia YouTube au Google utapata MAJIBU au ingia Dark World kule Dark Web utafute video za watu wanaliwa na Mbwa HUKU watazamaji wanalipia kwa Bitcoin
Acha bwanaa story hizi. Ongelea ukweli, hivi unafikiri mbwa nafuga mimi tu au baba yangu, 20% ya Watanzania wanafuga Mbwa hybrids tena kwa wingi. Marekani wanafika asilimia 44%. Hivi unadhani hizi kesi zingekua ngapi,
Mbwa unaosema huko dark web ila mm sipajui sijui hizo stry za vijiweni. Labda wawe wameandaliwa kushambuliwa. Siio wamle mtu, wanakushambulia. Na hii haina haja ya kuwa na njaa. Hapa ni uwe mgeni machoni pake. Atakushambulia kadri ya wewe utavyopapatika mpaka ukae chini kimya na kwa utulivu. Ila haawezi kula nyama.
 
Acha bwanaa story hizi. Ongelea ukweli, hivi unafikiri mbwa nafuga mimi tu au baba yangu, 20% ya Watanzania wanafuga Mbwa hybrids tena kwa wingi. Marekani wanafika asilimia 44%. Hivi unadhani hizi kesi zingekua ngapi,
Mbwa unaosema huko dark web ila mm sipajui sijui hizo stry za vijiweni. Labda wawe wameandaliwa kushambuliwa. Siio wamle mtu, wanakushambulia. Na hii haina haja ya kuwa na njaa. Hapa ni uwe mgeni machoni pake. Atakushambulia kadri ya wewe utavyopapatika mpaka ukae chini kimya na kwa utulivu. Ila haawezi kula nyama.
MIMI pia nafuga Mbwa tena Hybrid Ila simlishi nyama Mbichi
 
MIMI pia nafuga Mbwa tena Hybrid Ila simlishi nyama Mbichi
Ni maamuzi tu, ila haina maana anakula binadamu hakuna. Watu toka enzi nyama kiko 3500 tunanunua nyama tunalisha mbwa. Na hatujawahi hata badirikiwa na mbwa. 22 fckn years. Mpe dawa zinazotakiwa, kuepuka minyoo, na mzoeshe kwa mgeni yyte unauejua atakua kwako siku kadhaa, na zaidi fata ushauri au pata elimu juu ya ufugaji wa mbwa husika. Hutopata shambulio lolote.
Na la mwisho. Hii stry mbwa akila nyama mbichi anakua mkali itoe kichwani mwako itoe. Tunamlisha kutunza meno na kumtengeneza mwili.
 
Ni maamuzi tu, ila haina maana anakula binadamu hakuna. Watu toka enzi nyama kiko 3500 tunanunua nyama tunalisha mbwa. Na hatujawahi hata badirikiwa na mbwa. 22 fckn years. Mpe dawa zinazotakiwa, kuepuka minyoo, na mzoeshe kwa mgeni yyte unauejua atakua kwako siku kadhaa, na zaidi fata ushauri au pata elimu juu ya ufugaji wa mbwa husika. Hutopata shambulio lolote.
Na la mwisho. Hii stry mbwa akila nyama mbichi anakua mkali itoe kichwani mwako itoe. Tunamlisha kutunza meno na kumtengeneza mwili.
Haya sawa Mkuu Ila Mimi nilishawahi katazwa kwa ONYO Kali sana nikaacha mara moja kufanya hivyo
 
By nature chakula cha mbwa ni nyama mbichi. Ni sisi binadamu Tulianza kuwa badilisha tabia ya kula nyama iliyopikwa. Binadamu ameanza kuwa fuga mbwa miaka kama 26,000 iliyopita. Pia kuna mbwa ambao ni hatari kwa binadamu. Mfano kuna mbwa huyo Pit bull ni hatari sana, kwa sasa anaoongoza duniani kwa kuua au kujeruhi binadamu. Sasa hivi ulaya kuna mjadala wa kuacha au kuendelea kumfuga.
 
Sababu pekee inayofanya tulishe nyama iliyopikwa ni bacteria na minyoo. Nyama mbichi ni rahisi mbwa kupata bacteria na minyoo na kuisambaza kwa binadamu.

Ila kwa nchi zetu tunazoishi na kuku, bata, wezi tunaepuka kumpa nyama mbichi ili asile vitu asivyopewa au asivyozoea.

Mbwa wangu akikamata panya huwa anamuacha hapo hamli. Wengine wanamla. Ukiacha nyama mbichi ataiangalia sana mpaka shetani amuingie.
Wezi pia watakuja na nyama mbichi.

Kwa hiyo duniank huko kuna sababu za kiafya. Ila sisi kutokana na life style tumeongeza na tabia.

Kuna mdau stow away
kaongelea kula mtu hii si sahii. Kuna breed ni za hatari ambazo hazifugwi huku kwetu na zimekatazwa sehemu nyingi hao wanakula hata mbwa wenzao. Jaribu kuziangalia ila sio hawa mixed sherpherd sijui nani...
 
Kuna mdau @stow away
kaongelea kula mtu hii si sahii. Kuna breed ni za hatari ambazo hazifugwi huku kwetu na zimekatazwa sehemu nyingi hao wanakula hata mbwa wenzao. Jaribu kuziangalia ila sio hawa mixed sherpherd sijui nani...
Hybrid nazungumzia HIZO HIZO ulizosema zinakula hadi Mbwa wenzie maana Jamaa alikua anakataa nikamwambia hajawahi kuziona Video Mbwa akitafuna binadamu ndio maana anapinga
 
By nature chakula cha mbwa ni nyama mbichi. Ni sisi binadamu Tulia za kuwa badilisha tabia ya kula nyama iliyopikwa. Binadamu ameanza kuwa fuga mbwa miaka kama 26,000 iliyopita. Pia kuwa mbwa ambao ni hatari kwa binadamu. Mfano kuna mbwa huyo Pit bull ni hatari sana, kwa sasa anaoongoza duniani kwa kuua au kujeruhi binadamu. Sasa hivi ulaya kuna mjadala wa kuacha au kuendelea kumfuga.
yeah uyo pitbull noma hata mmiliki anaweza kukugeuka! na pia huwa wanashida ya kupoteza kumbukumbu
 
Sababu pekee inayofanya tulishe nyama iliyopikwa ni bacteria na minyoo. Nyama mbichi ni rahisi mbwa kupata bacteria na minyoo na kuisambaza kwa binadamu.

Ila kwa nchi zetu tunazoishi na kuku, bata, wezi tunaepuka kumpa nyama mbichi ili asile vitu asivyopewa au asivyozoea.

Mbwa wangu akikamata panya huwa anamuacha hapo hamli. Wengine wanamla. Ukiacha nyama mbichi ataiangalia sana mpaka shetani amuingie.
Wezi pia watakuja na nyama mbichi.

Kwa hiyo duniank huko kuna sababu za kiafya. Ila sisi kutokana na life style tumeongeza na tabia.

Kuna mdau stow away
kaongelea kula mtu hii si sahii. Kuna breed ni za hatari ambazo hazifugwi huku kwetu na zimekatazwa sehemu nyingi hao wanakula hata mbwa wenzao. Jaribu kuziangalia ila sio hawa mixed sherpherd sijui nani...
Ebu tuoneshe hiyo breed mkuu!
shukran kwa hii comment kuhusu chakula cha mbwa! nadhan nimkupata vilivyo
 
Ni maamuzi tu, ila haina maana anakula binadamu hakuna. Watu toka enzi nyama kiko 3500 tunanunua nyama tunalisha mbwa. Na hatujawahi hata badirikiwa na mbwa. 22 fckn years. Mpe dawa zinazotakiwa, kuepuka minyoo, na mzoeshe kwa mgeni yyte unauejua atakua kwako siku kadhaa, na zaidi fata ushauri au pata elimu juu ya ufugaji wa mbwa husika. Hutopata shambulio lolote.
Na la mwisho. Hii stry mbwa akila nyama mbichi anakua mkali itoe kichwani mwako itoe. Tunamlisha kutunza meno na kumtengeneza mwili.
Kwaiyo mkuu sasa ivi nyama kilo 6k unamlisha mbwa wako
 
Acha bwanaa story hizi. Ongelea ukweli, hivi unafikiri mbwa nafuga mimi tu au baba yangu, 20% ya Watanzania wanafuga Mbwa hybrids tena kwa wingi. Marekani wanafika asilimia 44%. Hivi unadhani hizi kesi zingekua ngapi,
Mbwa unaosema huko dark web ila mm sipajui sijui hizo stry za vijiweni. Labda wawe wameandaliwa kushambuliwa. Siio wamle mtu, wanakushambulia. Na hii haina haja ya kuwa na njaa. Hapa ni uwe mgeni machoni pake. Atakushambulia kadri ya wewe utavyopapatika mpaka ukae chini kimya na kwa utulivu. Ila haawezi kula nyama.
hii mi mwenyewe sijawai ona
 
Back
Top Bottom