Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #81
Akianza kula kuku sasa si shuhuliAle mbichi,huyo ni mlinzi na muwindaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akianza kula kuku sasa si shuhuliAle mbichi,huyo ni mlinzi na muwindaji.
una mbwa sijui walikua wanaumea nn muda wote wamekonda hata upige sindano za minyoo wapiKunenepa kwa Mbwa SIO kula Nyama Mbichi kunenepa kwa Mbwa ni kumpa Chakula cha kutosha kwa Wakati na kuzingatia asiugueugue ovyoovyo Mbwa akiugua afya yake inazorota anakonda sana na manyoya yanakosa muonekano mzuri
Mbwa wanaoenda kuchunga ng'ombe,mbuzi,kondoo na punda ulishasikia wakila hiyo mifugo?Akianza kula kuku sasa si shuhuli
Ndio INABIDI apate matibabu kwa Daktari wa Mifugok
una mbwa sijui walikua wanaumea nn muda wote wamekonda hata upige sindano za minyoo wapi
Katibu kachemkaNdio INABIDI apate matibabu kwa Daktari wa Mifugo
Bro leta video, swala la pitbull hapa nimekujibu juu hapo.Nmekuelewa Mkuu Ila Pitbull Bongo wamejaa kibao usisahau hilo, subiri nikuletee HIO Video Ila nimeshakupa Warning weka mbali na Watoto usiseme sikukuambia
Mlishe dagaa, Mchome dawa kwa wakati, aje kuwa kama wangu, nakupa bull dog bure tena jike. Namba zangu njoo uchukue PM. Acha ubishi wakipuuzi wewe jamaa. Huyo aliyekujibu sio mfugaji, kakwambia ana jamaa yake. Ila one of reason kaaonaa ni kulisha nyama mbichi of which of course yuko sahihi.Kunenepa kwa Mbwa SIO kula Nyama Mbichi kunenepa kwa Mbwa ni kumpa Chakula cha kutosha kwa Wakati na kuzingatia asiugueugue ovyoovyo Mbwa akiugua afya yake inazorota anakonda sana na manyoya yanakosa muonekano mzuri
Nimekwambia Video inatisha weka mbali na WatotoBro leta video, swala la pitbull hapa nimekujibu juu hapo.
Tuma video si ulisema unatuma ,ituke tuone. Leta linkNimekwambia Video inatisha weka mbali na Watoto
Ebu tuoneshe hiyo breed mkuu!
shukran kwa hii comment kuhusu chakula cha mbwa! nadhan nimkupata vilivyo
Kasema hiviMie mwenyewe inaniboa🤣🤣🤣 hadi nmewaza nimtupie ignore list huko nisione huo ufalah
Maandishi soo boring....Kasema hivi
"Wiki nzima yeye anakula mboga za majani lakini watu wanampa mbwa nyama"
wenye ugonjwa wa kusahau ni hao namba moja?View attachment 3002639
Fanya ufuge hawa vijana halafu uwaache ache.
KUna mbwa zina kilo 100....
- American Bulldog
- Yugoslavian Shepherd Dog
- Anatolian Shepherd Dog
- Central Asian Shepherd Dog
- Caucasian Shepherd Dog
- Portuguese Sheepdog
- Fila Brasileiro (Brazilian Mastiff)
- Dogo Argentino
- Perro da ganado majorero
- Dogo Canario
- Pitbull and all its variants
- Portuguese Mastiff
- Rottweiler
- Tosa Inu
😂😂😂😂Maisha tofauti kama vidole…..Maandishi soo boring....
Hawasahau ila ni aggressive sana. Ukimuudhi anakubadilikia hata kama ni mmiliki wake. Hana urafiki kabsa na mtu mwingine na kuna muda hafuati maagizo ya master akikasirika.wenye ugonjwa wa kusahau ni hao namba moja?
Hiyo ni hatari kubwaHawasahau ila ni aggressive sana. Ukimuudhi anakubadilikia hata kama ni mmiliki wake. Hana urafiki kabsa na mtu mwingine na kuna muda hafuati maagizo ya master akikasirika.
NIKUWA NAUMWAHA MARAALIIA MKUHU HADA GULA GWA YABU ZANAHivi mkuu huu uandishi wako umeutoa wapi???
BONA HAMA UMEBANIKI GWA YAMBO DOHO TU?HUYO ana-force kuchekesha kitu ambacho SIO cha ku-force