Kuna ubaya au uzuri gani wa kulisha mbwa nyama mbichi?

Kuna ubaya au uzuri gani wa kulisha mbwa nyama mbichi?

Mwenzio sikuimaliza maana inatisha sana, Mbwa mtata sana nazungumzia Hybrid SIO hawa changanyikeni wavuka barabara
Hybrid gani ww unaongelea? Anamla binadamu. Na ikumbukwe pitbul ni man made Dog. Watakataza kuendelea. Kutengeneza mbwa kama pitbull. Maana annytime anabadirisha tabia na si kumla binadamu au mbwa mwenzake.
Tujue kutofautisha kula na kumuuma au kumuumiza. Tusilete mjadala mbwa kumla binadamu hapa. Mnatoka nje ya mada kabisa ya thread
 
Mbwa asili yake ndio hiyo nyama mbichi, vya kupikwa ni sisi binadamu tu.
 
Wanajua kufuta mada za msingi na kuwapa Ban watu wanaokuwa na hoja za msingi, ila upumbavu kama huu huwa hawafuatilii na ndio servers za Jf zimejaa huu upuuzi.
hivi nyie huwa mnajuaje kuwa server zimejaa?
 
pitbul ni man made Dog. Watakataza kuendelea. Kutengeneza mbwa kama pitbull.
Pita GOBA hapo PITBULL wamejaa kibao Mkuu, wewe unaongea kiushabiki shida ndio inaanzia HAPO Ila kuna Mbwa Wewe ukiwekewa anakutafuna vizuri tu
 
Tujue kutofautisha kula na kumuuma au kumuumiza. Tusilete mjadala mbwa kumla binadamu hapa. Mnatoka nje ya mada kabisa ya thread
NGOJA nikutafutie Video maana naona umezidi ubishi na nikikupa Video sijui utazua Jambo gani jingine ukichaa?
 
Pita GOBA hapo PITBULL wamejaa kibao Mkuu, wewe unaongea kiushabiki shida ndio inaanzia HAPO Ila kuna Mbwa Wewe ukiwekewa anakutafuna vizuri tu
Leta video ya mbwa anamla binadamu. Hata za you tube auu huko dark web sijui. Leta hapa hata link.
Nakuhusu pitbull kujaa Goba, acha wajae. Si hela tu. Kwani wanauzwa milioni 300. Ishindikane. Tena wapo wengi saaaana.
 
Leta video ya mbwa anamla binadamu. Hata za you tube auu huko dark web sijui. Leta hapa hata link.
Nakuhusu pitbull kujaa Goba, acha wajae. Si hela tu. Kwani wanauzwa milioni 300. Ishindikane. Tena wapo wengi saaaana.
Sasa nimeshangaa unaposema uzalishwaji kufanyaje? Wanazalishwa tu na Watu bado wanawanunua km kawaida, ngoja nikutafutie HIO Video Ila nakupa ONYO Video inatisha
 
Sasa nimeshangaa unaposema uzalishwaji kufanyaje? Wanazalishwa tu na Watu bado wanawanunua km kawaida, ngoja nikutafutie HIO Video Ila nakupa ONYO Video inatisha
Leta video. Swala la kuzalishwa nimekwambia wanataka kulikwamisha sio bongo. Huyo pitbull ni breed ya huko marekani, ila chama cha wamiliki wa mbwa hakitambui huyo mbwa ni crossed bull na terrier dog. Miaka na miaka ila amekua hatari sana kwa kushambulia binadamu. Hivo wanataka kusimamisha uzalishaji wake marekani.
Bongo Unga tu mnasukuma. Nenda Canada au China kama kuna upuuzi kama huo. Sheria ni kali.
 
Binafsi napenda mbwa sana. Na nimejifunza tangu zamani lazima chakula cha mbwa kipikiwe
Sasa kuna clip naona mbwa wanalishwa chakula au nyama mbichi fresh tu. Je hii haina madhara kwene makuzi ya mbwa hasa wizi wa mifugo na udokozi

Kama ni wa nyumbani anaangalia movies mpikie lkn km ni mindaji huyo nyama mbichi inampa hamasa ya kuwinda zaidi na hii hata kwa mbwa mlinzi inafaa kumuongezea hasira.

Ya kupika,kuchoma au kukaanga tunawapa wale wazururaji ili iwaepushe kupewa vyakula vibichi vyenye sumu. Akipewa akagundua hakijapikwa hali.
 
Kama ni wa nyumbani anaangalia movies mpikie lkn km ni mindaji huyo nyama mbichi inampa hamasa ya kuwinda zaidi na hii hata kwa mbwa mlinzi inafaa kumuongezea hasira.

Ya kupika,kuchoma au kukaanga tunawapa wale wazururaji ili iwaepushe kupewa vyakula vibichi vyenye sumu. Akipewa akagundua hakijapikwa hali.
mbwa wa nyumban na home kuna mifugo
 
Leta video. Swala la kuzalishwa nimekwambia wanataka kulikwamisha sio bongo. Huyo pitbull ni breed ya huko marekani, ila chama cha wamiliki wa mbwa hakitambui huyo mbwa ni crossed bull na terrier dog. Miaka na miaka ila amekua hatari sana kwa kushambulia binadamu. Hivo wanataka kusimamisha uzalishaji wake marekani.
Bongo Unga tu mnasukuma. Nenda Canada au China kama kuna upuuzi kama huo. Sheria ni kali.
Nmekuelewa Mkuu Ila Pitbull Bongo wamejaa kibao usisahau hilo, subiri nikuletee HIO Video Ila nimeshakupa Warning weka mbali na Watoto usiseme sikukuambia
 
Haya nijibu kwa serious kwa maono yangu,.
Kumlisha nyama mbichi mbwa huwa kwasababu, kwanza, anakua na mwili wenye nguvu(fatilia hii kwa mbwa. Wengi wanaokula nyama mbichi), Anakua na mwili wenye afya, hata maagonjwa huwa nadra sana kwake, anakua na manyoya yanayong'aa muda wote, meno meupe auu masafi, na hata utumbo wake unakua na uchakataji mzuri wa chkula kuhakikisha ukuaji wake bora.

Na pia, mbwa anayelishwa hivo sahau kumkuta kadaka kuku au kala nyama jikoni. Mbwa hana tabia hiyo. Au eti aje kumla binadamu. Yeye atakula kile tu anachopewa.
Unasema kweli mkuu, nyama mbichi kwa mbwa inampa afya sana.

Kuna jamaa anafuga rottweiler ni vidogo anavipa nyama mbichi vimenenepa sana.
 
Unasema kweli mkuu, nyama mbichi kwa mbwa inampa afya sana.

Kuna jamaa anafuga rottweiler ni vidogo anavipa nyama mbichi vimenenepa sana.
Kunenepa kwa Mbwa SIO kula Nyama Mbichi kunenepa kwa Mbwa ni kumpa Chakula cha kutosha kwa Wakati na kuzingatia asiugueugue ovyoovyo Mbwa akiugua afya yake inazorota anakonda sana na manyoya yanakosa muonekano mzuri
 
Back
Top Bottom