Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ipo haja ya serekali yetu kuona umuhimu wa suala hili, kwa ni eneo ambalo lipo kilometre chache sana kutoka city center, linastahili kuwa upgraded n kufanana na maeneo ya upanga na kwingineko, pia ni eneo ambalo linaeweza kupangwa tukapata kariakoo 2,mpangilio wa ujenzi ufanywe kwa wenye maeneo yao mradi utakapomalizika wapatiwe nyumba zao permanent na hati zao.