Mleta mada umekuja na wazo zuri. Tulishamshauri 2013 Bwana Mchechu akiwa Boss wa NHC kuhusu miradi ya aina hiyo chini ya PPP na wanachi wenye Ardhi halafu unampa apartment moja. La kufanya ni kuwapa kodi ya pango miaka mitatu baada ya kukamilika mradi wanapata makazi mazuri na hati miliki safi. Tukashauri aanzie Morogoro road pale tip-top hadi magomeni lakini bahati mbaya hakuweza kutekeleza.
Watumishi housing walijaribu pale Magomeni ndani ya miezi 2 wakajaza majengo. Magomeni Kota imejaa pia. Kuna maeneo mengi ya urban renewal lakini ndio hivo sio priority kwa our urban authorities.
Watumishi housing walijaribu pale Magomeni ndani ya miezi 2 wakajaza majengo. Magomeni Kota imejaa pia. Kuna maeneo mengi ya urban renewal lakini ndio hivo sio priority kwa our urban authorities.