makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hilo tendo ndio liafanya mie nawe tuwepo hapa..Ningeshangaa umalize kutoa ushauri bila kukazia mambo yako pendwa π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ dah! Ngoja nilifikirie ili jamii yetu ya group O lisije likapotea bureHilo tendo ndio liafanya mie nawe tuwepo hapa..
Halafu suala la kuongeza jamii yetu ya group O hatujafikia muafaka, tujitahidi tuongeze watu ndugu yangu, litapotea group letu ππ€£
Fanya hivyo ndugu yangu uzao wetu utapotea.π€£π€£π€£π€£ dah! Ngoja nilifikirie ili jamii yetu ya group O lisije likapotea bure
πππndoa bila pesa itawezekana kweli au anaenda kumtesa tu kaka wa watuJOy ameokoka saivi hataki pesa anataka ndoa...
Ndo maana anapiga simu kubembeleza...
ππ€£π€£ Ila makaveli umenishinda tabiaFanya hivyo ndugu yangu uzao wetu utapotea.
We mbona unakuwa miyeyusho mpaka umtafute, kuna uzima na umauti, na wala hatufanyi vya burudani, tunafanya shwaa shwaa tu vya uzao.. ππ€£ππ€£π€£ Ila makaveli umenishinda tabia
Nitakufatia group O huku muendeleze uzao
π€£π€£π€£π€£πππ Makaveli una nini lakini?We mbona unakuwa miyeyusho mpaka umtafute, kuna uzima na umauti, na wala hatufanyi vya burudani, tunafanya shwaa shwaa tu vya uzao.. ππ€£
OUR OFFSPRING WILL PERISH MY DEAR, nimeGUGO ili nioneshe msisitizo, think twice
Mapenzi siyo ugomvi wala haimaniishi mapenzi yakiisha basi mnamkuwa na ugomvi.Hawafutagi namba kaka, anaweza kaa hata miaka miwili ukadhani kashakufuta kwenye maisha yake ukashangaa siku haina jina anakutafuta.
Eehh, mwenzangu usije ukadhani mie nataka nifaidi, akaaaa!! mie nimejitolea muhanga tu kwa jamii yetuπ€£ππ€£π€£π€£π€£πππ Makaveli una nini lakini?
Eti tunafanya vya uzao, sio burudani. Umefanya nimecheka mpk machozi
π€£π€£π€£ uongo huoEehh, mwenzangu usije ukadhani mie nataka nifaidi, akaaaa!! mie nimejitolea muhanga tu kwa jamii yetuπ€£π
Mimi siumii wala sina mpango naw tena sababu sina desturi ya kumtafuta hata kwa bahati mbaya na kubwa zaidi hata namba zake za simu hazipo kwenye phonebook yangu.Kuna siku alipiga simu mpaka ikabidi nimuulize "naongea na nani", sio kwamba nilikua namtania ila ni kweli sikujua naongea na nani mana sauti binadamu huwa zinafanana.Siku hiyo ndo alijua kumbe hata namba zake nishafuta na akaanza kunambia eti oooh mbona me namba zako zote ninazo nikashangaaa sana.Mimi nikishaacha mwanamke nimeacha haijalishi uko mbeleni nitapa shida au la mana sio yeye peke yake ndo anaweza kunipa msaada.Mapenzi siyo ugomvi wala haimaniishi mapenzi yakiisha basi mnamkuwa na ugomvi.
Nimejifunza mengi sana kutoka kwa wanawake huwa hawafuti namba kwasababu wanajua mapenzi siyo ugomvi na pia kuna siku utakuwa na shida.
Kuwasiliana na ex siyo mbaya kama mnawasiliana kawaida kama rafiki ila ni mbaya kama bado mnawasiliana kimapenzi.
Iko hivi, unapolala na mwanamke unakuwa umeweka alama ya kudumu (umeweka tattoo, kuna maana kubwa sana kwenye ulimwengu wa roho kufanya ngono).
Naona hapo wewe ndiyo unatatizo na unaumia sana. Kama mliweza kufanya ngono, kuongea pamoja kwa upendo siyo mbaya kama mtakuwa mnawasiliana kawaida na kusalimiana.
Kweli vile.. ππ€£π€£π€£ uongo huo
Nifanye nini uamini..π€£π€£π€£ uongo huo
Yani nibadiri namba yangu ya miaka mingi sababu ya ex ? Huyu hata nispojibu text zake hachoki kunitafuta siku nyingine ndomana nimeona nimpe life ban.Haupo sahihi kwa sababu hauna haja ya kumuambia hivyo kila wakati, bali unaweza ukabadili namba au kutoku-respond pindi anapokutumia ujumbe au kukupigia
π€£π€£π€£ Naijua hiyoKweli vile.. π
π€£π€£π€£ Thubutuu!!Nifanye nini uamini..
We fanya hivyo utaona..π
π€£ππ€£π€£ We huna upendo na jamii yetu.π€£π€£π€£ Naijua hiyo