Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Huoni kama wewe ndiyo unateseka (unatatizo)? Katika maisha yako jifunze kusamehe na kuachilia mambo moyoni mwako.
Hapo sijaona ubaya wa huyo mwanamke kama anakupigia kukusalimia tu. Mapenzi siyo ugomvi mpk ushindwe kuongea naye.
Wanawake wanaishi miaka mingi kwasababu wanamoyo wa kusamehe, kutoweka chuki na pia kupuuzia mambo ndiyo maana wanawake hata ukiachana naye atabaki na namba yako na pia hata ukimpigia mtasalimiana na pia atakupuuza.
Umejaza chuki, usinitafute kwani wewe ni nani. Chuki inatafuna sana moyo na hata kujenga kisasi. Watu wa namna hii ndiyo wale utasikia amemuua mkewe, amejinyonga au kamuua mgoni wake.
Akikupigia mpokee msalimiane kawaida kwa upendo kisha endelea na mambo yako. Mapenzi siyo ugomvi kumbuka tayari umeweka alama ya moto.
Yani mimi nateseka kwa kumueleza ukweli kwamba asinitafute tena katika maisha yake ? Kwani nilizaliwa nae ? Manan angekua ndugu yangu nisingeweza kusema vile lakini yule ni girlfriend tu tena wote tumekutana ukubwani tukiwa na meno 32.

Halafu kwasasa mimi nina mpenzi mwingine ambae kamzidi kila kitu kwa uzuri mpaka tabia sasa kwanini niharibu mahusiano yangu mapya kwa kuendelea kuwasiliana na ex ambae sihitaji chochote kutoka kwake ?
Mimi sina muda mchafu wa ku entertain ma ex sababu ex kwangu is nothing but an imbecile.

Hakua bora kipindi tuko kwenye mahusiano akawe bora wakati tumeshaachana ?

Halafu niwasiliane na ex ili kugundua nini labda ?
 
Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.

Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.

Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.

Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.

Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.

Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
Asee ikitokea manzi nimemzimia kishenzi ikatokea Tukaachana asee sitaki kumuona Tena Wala kumsikia I block everything about her halafu sijui kwann hawapend kukata mawasiliano na ex ZAO LABDA wanajisikia vizuri kucheza na hisia za wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.

Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.

Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.

Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.

Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.

Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
Acha janja janja ya mbuzi kujambia mdomo. Huyo manzi bado unampenda ndo maana umepoteza muda wako wa thamani kuandika uzi unaomhusu. Jomba hakunaga shujaa wa mapenzi.. kwa sababu huyo manzi bado unampenda basi chukua jukumu la kukaa nae chini mmalize tofauti zenu muendelee kupeana mahaba. Kauli ya kumwambia binadamu mwenzako asikutafute kwa maisha yake yote ni kiduwanzi sana. Vipi kama atakutafuta akupe mchongo wa pesa ndefu? Acha kufanya maamuzi kwa hisia kama demu.
 
Hahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta. Haya maisha tunayoishi penda sana kujenga ujamaa kuliko uadui hasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa 3 wa dunia.

Ipo siku usioijua huyo demu anaweza kukufaa kwa namna moja ama nyengine. Mimi kuna watu nimeachana nao ila naweza kuwapigia any time na tukaongea freshi sababu tuliachana katika ukomavu tu sio kwa sababu za kishenzi. Ila kama mliachana kwa bifu basi haina budi kuendelea mlipoishia.
Simba la masimba ....Simba baba dangote umetoa madini mazuriiii balaaaa ⭐⭐⭐⭐🤝
 
Sijawahi kumtafuta sababu hakuna ninachohitaji tena kwake hata niwe vibaya vipi financially, kama nipo broke bora nikope hata kwa marafiki zangu lakini sio yeye.
Uku umefikia kubaya sasa.....Dunia ina meeng tumia akili sio hisia katika kufanya maamuzi
 
Acha janja janja ya mbuzi kujambia mdomo. Huyo manzi bado unampenda ndo maana umepoteza muda wako wa thamani kuandika uzi unaomhusu. Jomba hakunaga shujaa wa mapenzi.. kwa sababu huyo manzi bado unampenda basi chukua jukumu la kukaa nae chini mmalize tofauti zenu muendelee kupeana mahaba. Kauli ya kumwambia binadamu mwenzako asikutafute kwa maisha yake yote ni kiduwanzi sana. Vipi kama atakutafuta akupe mchongo wa pesa ndefu? Acha kufanya maamuzi kwa hisia kama demu.
Usichokijua ni kwamba huyu manzi awali sikua na mpango wa kumtongoza ila ni yeye ndie aliejitonhizesha kwangu mpaka tukawa wapenzi.

Niliingia nae kwenye mahusiano kama bahati mbaya tu lakini hakuwa moyoni mwangu kabisa.

Sasa unanishangaza unaponiambia kwamba bado nampenda wakati kwasasa nina mwanamke ambae ni mzuri kuliko yeye kimuonekano na kitabia na isitoshe nishawahi hadi kumtumia picha ya mpenzi wangu mpya ili aache kunisumbua lakini wapi bado hasikii ndomana nimeona bora nimpige tofali la maisha.
 
Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.

Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.

Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.

Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.

Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.

Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?

Kama bado wampenda mrudie
 
Yani mimi nateseka kwa kumueleza ukweli kwamba asinitafute tena katika maisha yake ? Kwani nilizaliwa nae ? Manan angekua ndugu yangu nisingeweza kusema vile lakini yule ni girlfriend tu tena wote tumekutana ukubwani tukiwa na meno 32.

Halafu kwasasa mimi nina mpenzi mwingine ambae kamzidi kila kitu kwa uzuri mpaka tabia sasa kwanini niharibu mahusiano yangu mapya kwa kuendelea kuwasiliana na ex ambae sihitaji chochote kutoka kwake ?
Mimi sina muda mchafu wa ku entertain ma ex sababu ex kwangu is nothing but an imbecile.

Hakua bora kipindi tuko kwenye mahusiano akawe bora wakati tumeshaachana ?

Halafu niwasiliane na ex ili kugundua nini labda ?
Umeandika kama mtu mwenye jazba fulani hivi na chuki juu ya X-wako.
Umeachana naye na uliyenaye amemzidi kila kitu wala siyo hoja. Kumbuka kuna kuachana wala usifikiri uzuri wa huyo mwanamke uliyenaye wala penzi analokuonesha. Mapenzi ni ya kijinga sana.
Kumbuka mapenzi siyo ugomvi wala kuwekeana visasi.
Jifunze kusamehe, kuachilia na kupuuza. Mtu anakusalimia wala siyo issue ya mapenzi, sioni tatizo hapo. Tatizo litakuja kama mtaanza kuwasiliana kama wapenzi.
Kuwasiliana na ex kama marafiki siyo kila siku sioni tatizo
 
Usichokijua ni kwamba huyu manzi awali sikua na mpango wa kumtongoza ila ni yeye ndie aliejitonhizesha kwangu mpaka tukawa wapenzi.

Niliingia nae kwenye mahusiano kama bahati mbaya tu lakini hakuwa moyoni mwangu kabisa.

Sasa unanishangaza unaponiambia kwamba bado nampenda wakati kwasasa nina mwanamke ambae ni mzuri kuliko yeye kimuonekano na kitabia na isitoshe nishawahi hadi kumtumia picha ya mpenzi wangu mpya ili aache kunisumbua lakini wapi bado hasikii ndomana nimeona bora nimpige tofali la maisha.
Kwa hiyo ulimchamba?
 
Umeandika kama mtu mwenye jazba fulani hivi na chuki juu ya X-wako.
Umeachana naye na uliyenaye amemzidi kila kitu wala siyo hoja. Kumbuka kuna kuachana wala usifikiri uzuri wa huyo mwanamke uliyenaye wala penzi analokuonesha. Mapenzi ni ya kijinga sana.
Kumbuka mapenzi siyo ugomvi wala kuwekeana visasi.
Jifunze kusamehe, kuachilia na kupuuza. Mtu anakusalimia wala siyo issue ya mapenzi, sioni tatizo hapo. Tatizo litakuja kama mtaanza kuwasiliana kama wapenzi.
Kuwasiliana na ex kama marafiki siyo kila siku sioni tatizo
Huyu wa sasa nimezaa nae, sasa niharibu mahusiano yangu sababu yake ?
 
Huwa ananitext tu na huwaga nazijibu text zake kwa ufupi sana, ni busara tu huwa naonyesha lakini sio kama namuhitaji tena ukizingatia tayari nina mtu mwingine, ili asiniharibie ndio maana nimeona nimkataze mazima yeye kunitafuta.


Bado unampenda, usipojibu na kupokea simu zake mara 20 inatosha
 
Usichokijua ni kwamba huyu manzi awali sikua na mpango wa kumtongoza ila ni yeye ndie aliejitonhizesha kwangu mpaka tukawa wapenzi.

Niliingia nae kwenye mahusiano kama bahati mbaya tu lakini hakuwa moyoni mwangu kabisa.

Sasa unanishangaza unaponiambia kwamba bado nampenda wakati kwasasa nina mwanamke ambae ni mzuri kuliko yeye kimuonekano na kitabia na isitoshe nishawahi hadi kumtumia picha ya mpenzi wangu mpya ili aache kunisumbua lakini wapi bado hasikii ndomana nimeona bora nimpige tofali la maisha.
Ni sawa ila kumbuka mapenzi siyo ugomvi.
Hapa inaonesha una kisasi naye na pia una chuki naye.
Mapenzi ya kijinga sana, kumbuka huyo unayemsifia kuna kuachana pia.
Kama ex anakusalimia yeye mwenyewe, huna mpango naye na anakusalimia kama marafiki na siyo kila siku hapo sioni tatizo.
Kama hadi namba umefuta, inapita hadi miezi 3 ndiyo anakutafuta kukusalimia hapo sioni tatizo. Kumbuka uliishi naye, ulifanya naye ngono na kuongea kwa upendo wala sioni haja ya kukusalimia.
 
Hahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta. Haya maisha tunayoishi penda sana kujenga ujamaa kuliko uadui hasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa 3 wa dunia.

Ipo siku usioijua huyo demu anaweza kukufaa kwa namna moja ama nyengine. Mimi kuna watu nimeachana nao ila naweza kuwapigia any time na tukaongea freshi sababu tuliachana katika ukomavu tu sio kwa sababu za kishenzi. Ila kama mliachana kwa bifu basi haina budi kuendelea mlipoishia.
Wewe ndiyo umeongea point wengine wote inaonekana wameachana kwa ubaya.
 
Huyo dem itakua ni m'bovu kwa sura na shape na ulidate nae kwa nyege tuu ndio maana mpaka sasa hajapata bwana kwasababu ni m'bovu ingekua mali safi ungeisikia kwenye bomba tuu unless otherwise uwe na ukwasi mwingi mali safi ndo inaweza kukutafuta.
 
Huyu wa sasa nimezaa nae, sasa niharibu mahusiano yangu sababu yake ?
Siyo kuharibu ndugu. Ni hivi shida inakuja km mtakuwa mnawasiliana km wapenzi halafu kila mara hapo ndiyo shida inaanza.
Ila km mtu anakaa miezi mitatu ndiyo anakutafuta kukusalimia tu wala siyo kurudiana nawe wala siyo issue ya mapenzi hapo sioni kosa lake.
Kumbuka kuna nyakati mliishi naye, mlifanya ngono na kuongea kwa upendo kwahiyo kukusalimia km rafiki hapo sioni kosa lake. Kila binadamu ana maana kubwa sana katika maisha yako
Inatakiwa uishi na mtu hata siku mkikutana barabarani msalimiane
 
Siyo kuharibu ndugu. Ni hivi shida inakuja km mtakuwa mnawasiliana km wapenzi halafu kila mara hapo ndiyo shida inaanza.
Ila km mtu anakaa miezi mitatu ndiyo anakutafuta kukusalimia tu wala siyo kurudiana nawe wala siyo issue ya mapenzi hapo sioni kosa lake.
Kumbuka kuna nyakati mliishi naye, mlifanya ngono na kuongea kwa upendo kwahiyo kukusalimia km rafiki hapo sioni kosa lake. Kila binadamu ana maana kubwa sana katika maisha yako
Inatakiwa uishi na mtu hata siku mkikutana barabarani msalimiane
Hiyo ni sawa na kutembelea muwa kama mkongojo ipo siku utautafuna.Halafu mimi kumwambia hivyo ni kama nimemsaidia tu ili awe busy na maisha yake kuliko kuhangaika na mimi.
 
Back
Top Bottom