What the heck! Kama humuhitaji hata kwa urafiki tu, acha kupokea, simu zake, dunia Ina watu bilioni 8! Wewe huwezi, kumsumbua MTU kwa miaka yote, ataweza pata aliyebora kuliko wewe na anaweza kujiuliza kwa nini alisumbuliwa na wewe!
Wadogo zangu, usitafute MTU asie kutafuta, kama mlikuwa pamoja, huo ukurasa, umepita,
Kwa sie wenye akili kubwa, ma x wetu ni marafiki zetu Sana tu, wana familia zao, tuna zetu, tunakutana kupiga deals za pesa, na kupeana michongo,
Unakuta x wako yupo wizarani,anakupa info za tender zijazo, na wewe unajipanga,
Maisha ni zaidi ya........