Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

Huoni kama wewe ndiyo unateseka (unatatizo)? Katika maisha yako jifunze kusamehe na kuachilia mambo moyoni mwako.
Hapo sijaona ubaya wa huyo mwanamke kama anakupigia kukusalimia tu. Mapenzi siyo ugomvi mpk ushindwe kuongea naye.
Wanawake wanaishi miaka mingi kwasababu wanamoyo wa kusamehe, kutoweka chuki na pia kupuuzia mambo ndiyo maana wanawake hata ukiachana naye atabaki na namba yako na pia hata ukimpigia mtasalimiana na pia atakupuuza.
Umejaza chuki, usinitafute kwani wewe ni nani. Chuki inatafuna sana moyo na hata kujenga kisasi. Watu wa namna hii ndiyo wale utasikia amemuua mkewe, amejinyonga au kamuua mgoni wake.
Akikupigia mpokee msalimiane kawaida kwa upendo kisha endelea na mambo yako. Mapenzi siyo ugomvi kumbuka tayari umeweka alama ya moto.
Hivi kumbe wanawake hawapendi kuweka chuki ndio sababu mfano pia huwa hawafuti namba? Kama Ina ukweli vile Johnny Impact ingawa hawa viumbe wana dharau, ukatili n.k
 
Hamjakutanaga na watu wenye maamuzi magumu[emoji16],
Kweli hawajakutana bado. Kuna watu ni dk sifuri inafutwa namba na wewe mwenyewe unafutwa hata mkikutana kama hakukujui.
 
Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.

Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.

Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.

Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.

Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.

Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
Alikufanyia makosa? Kama la hasha, mpigie simu ufute kauli zako kwa faida ya baadaye... Kesho ni ya tofauti sana
 
Salamu yake mimi ya kazi gani ? Kwa siku nasalimiwa na wangapi ? Unajua madhara ya hizi salamu salamu za ma ex ?
Rafiki mbona hasira tena??? Kama ungekua unajua madhara ya mawasiliano na ex usingekuja na hili bango.
 
Kweli hawajakutana bado. Kuna watu ni dk sifuri inafutwa namba na wewe mwenyewe unafutwa hata mkikutana kama hakukujui.
Huu ndio utamaduni wangu. Sitaki unafiki. Watu wengi sana walionichukulia poa nimewafanyia hivi, yaani nilipobadilika hawakuamini kama mini ni mtu yule yule niliyekuwa-peace kwao.
 
Hahahahah wewe kama unaijua namba yake ipige tofali tu ili asikupate kabisa. Ila pia kama kuachana kwenu hakukuwa kwa ubaya sioni sababu ya kumpiga life ban hata ya kukutafuta. Haya maisha tunayoishi penda sana kujenga ujamaa kuliko uadui hasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa 3 wa dunia.

Ipo siku usioijua huyo demu anaweza kukufaa kwa namna moja ama nyengine. Mimi kuna watu nimeachana nao ila naweza kuwapigia any time na tukaongea freshi sababu tuliachana katika ukomavu tu sio kwa sababu za kishenzi. Ila kama mliachana kwa bifu basi haina budi kuendelea mlipoishia.
Vijana wasiojua nini maana ya mahusiano ndio hukimbilia kujenga uadui baada ya kuachana. Life is viscous kuna leo na kesho huwezi jua Ex wako atakufaa au utamfaa vipi baadae maishani.
Mimi nawasiliana na Ex's wangu na kila mtu anaheshimu mahusiano ya mwenzake though sometimes huwa tunatania taniana kunogesha maongezi tunayokuwa nayo kwa muda huo.
Umeshauri kitu kizuri sana mkuu
 
Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi.

Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya kukalili namba za mpenzi wangu ninaekua nae kwenye mahusiano.

Tatizo huyu binti ndie huwa ananitafuta mimi hata tukikaa miezi mitatu au sita lazima atanitafuta wakati mimi sina time nae tena.

Juzi alinitafuta na kunisalimia na nikamjibu fresh tu ila nikaona nimuweke wazi kwa kumuambia kwamba asinitafute katika kipindi chote cha maisha yake yaliyobaki mana ni kama atakua anajipotezea tu muda wake wakati mimi sina interest nae tena.

Nimemwambia hivyo just for good ili aweze ku focus zaidi kwenye maisha yake.

Je kwa kufanya hivyo nitakua nimekosea kumchana ukweli ili asipoteze muda wake au nitakua nimeupiga mwingi?
What the heck! Kama humuhitaji hata kwa urafiki tu, acha kupokea, simu zake, dunia Ina watu bilioni 8! Wewe huwezi, kumsumbua MTU kwa miaka yote, ataweza pata aliyebora kuliko wewe na anaweza kujiuliza kwa nini alisumbuliwa na wewe!
Wadogo zangu, usitafute MTU asie kutafuta, kama mlikuwa pamoja, huo ukurasa, umepita,
Kwa sie wenye akili kubwa, ma x wetu ni marafiki zetu Sana tu, wana familia zao, tuna zetu, tunakutana kupiga deals za pesa, na kupeana michongo,
Unakuta x wako yupo wizarani,anakupa info za tender zijazo, na wewe unajipanga,
Maisha ni zaidi ya........
 
What the heck! Kama humuhitaji hata kwa urafiki tu, acha kupokea, simu zake, dunia Ina watu bilioni 8! Wewe huwezi, kumsumbua MTU kwa miaka yote, ataweza pata aliyebora kuliko wewe na anaweza kujiuliza kwa nini alisumbuliwa na wewe!
Wadogo zangu, usitafute MTU asie kutafuta, kama mlikuwa pamoja, huo ukurasa, umepita,
Kwa sie wenye akili kubwa, ma x wetu ni marafiki zetu Sana tu, wana familia zao, tuna zetu, tunakutana kupiga deals za pesa, na kupeana michongo,
Unakuta x wako yupo wizarani,anakupa info za tender zijazo, na wewe unajipanga,
Maisha ni zaidi ya........
Kwahiyo wewe unawasiliana na ex zako sababu unavizia tenda wizarani sio ??? Hatuwezi kuwa sawa bro mana kila mtu ana taratibu zake katika maisha.Wakati wewe unategemea ma ex kuendesha maisha yako wengine hatupo hivyo.Unadhani mkeo anakuchukuliaje anapoona unawasiliana na ex zako ? Je na yeye akiwasalimia na ex zake wa kiume utakenua meno ?
 
NAKUMBUSHA NAMBA YA EX HAUFUTWI.
IPO SIKU UTAKUJA KUPATA DHAMANI YA X.ikakusaidia maishani
 
What the heck! Kama humuhitaji hata kwa urafiki tu, acha kupokea, simu zake, dunia Ina watu bilioni 8! Wewe huwezi, kumsumbua MTU kwa miaka yote, ataweza pata aliyebora kuliko wewe na anaweza kujiuliza kwa nini alisumbuliwa na wewe!
Wadogo zangu, usitafute MTU asie kutafuta, kama mlikuwa pamoja, huo ukurasa, umepita,
Kwa sie wenye akili kubwa, ma x wetu ni marafiki zetu Sana tu, wana familia zao, tuna zetu, tunakutana kupiga deals za pesa, na kupeana michongo,
Unakuta x wako yupo wizarani,anakupa info za tender zijazo, na wewe unajipanga,
Maisha ni zaidi ya........
Kwahiyo wewe unawasiliana na ex zako sababu upo wizarani kuvia tender sio ??? Hatuwezi kuwa sawa bro mana kila mtu ana taratibu zake katika maisha.Wakati wewe unategemea ma ex kuendesha maisha yako wengine hatupo hivyo.U
NAKUMBUSHA NAMBA YA EX HAUFUTWI.
IPO SIKU UTAKUJA KUPATA DHAMANI YA X.ikakusaidia maishani
Namba ya ex ukibaki nayo wewe tu kwenye simu yako inatosha.
 
Kwahiyo wewe unawasiliana na ex zako sababu unavizia tenda wizarani sio ??? Hatuwezi kuwa sawa bro mana kila mtu ana taratibu zake katika maisha.Wakati wewe unategemea ma ex kuendesha maisha yako wengine hatupo hivyo.Unadhani mkeo anakuchukuliaje anapoona unawasiliana na ex zako ? Je na yeye akiwasalimia na ex zake wa kiume utakenua meno ?
Jamaa kaongea kitu cha hovyo.
 
Back
Top Bottom