Kuna ubaya kununua nyumba ya jirani inayopigwa mnada na benki?

Kuna ubaya kununua nyumba ya jirani inayopigwa mnada na benki?

BUSARA NI KUTOINUNUA.
Kwa sababu jirani yako hapo yupo amepata matatizo ni matatizo kama msiba au huzuni.

Sasa wewe kama jirani au uliyekuwa jirani yake inatakiwa uonyeshe hisia za kuonyeshwa kuguswa sympathy kusikitika pamoja,kumfariji,kulia naye pamoja ndio UTU,au ubinadamu,au good morals na hasa kwa jamii zetu sisi watanzania tunaishi kijamaa bado tuna elements za kijamaa.
Hata kama hujahuzunishwa na yaliyompata jirani yako unaweza kuigiza kumsikitikia na kumpa pole au kumfariji hata kwa kuigiza.

Pia uki inunua bado kumbukumbu za jirani yako na pengine na yeye ataweza kufikiri,umetumia ule msemo wa KUFA KUFAANA,au umetake advantage au ulikuwa unaitamani au umefurahia matatizo yake.Sidhani kama yeye jirani yako atafurahia hilo.Kwa sababu hakupenda iuzwe au haiuzi kwa ridhaa yake au kupenda au kwa kupanga.Ila inauzwa na BANK kwa kushindwa kurejesha mkopo(MATATIZO/CHANGAMOTO AMEPATA AU MAJANGA).Ni tofauti na kama yeye mwenyewe angeamua kuuza kwa kupenda.

UKIACHA BUSARA
,KISHERIA SIO KOSA,WALA HAKUNA MADHARA YOYOTE UKINUNUA.
Lakini mpaka umeamua kuuliza huku JF ina maana uko dilemma au kuna nafsi inakwambia usinunue nafsi nyingine inakwambia nunua.Ila maamuzi au umeshachagua upande moyoni mwako wa kununua au kutonunua,hapa unatafuta pengine justification au support ya kufanya kile ambacho umeshakiamua moyoni mwako.Fanya kile ambacho moyo wako utakuwa na amani na furaha,kadiri ya imani yako na utu wako na mahusiano yako na jamii yako.
 
BUSARA NI KUTOINUNUA.
Kwa sababu jirani yako hapo yupo amepata matatizo ni matatizo kama msiba au huzuni.

Sasa wewe kama jirani au uliyekuwa jirani yake inatakiwa upnyeshe hisia za kuonyeshwa kuguswa sympathy kisikitika pamoja,kumfariji,kulia naye pamoja ndio UTU,au ubinadamu,au good morals na hasa kwa jamii zetu sisi watanzania tunaishi kijamaa nado tuna elements za kijamaa.
Hata kama hujahuzunishwa na yaliyompata jirani yako unaweza kuigiza kumsikitikia na kumpa pole au kumfariji hata kwa kuigiza.

Pia uki inunua bado kumbukumbu za jirani yako na pengine na yeye ataweza kifikiri,umetumia ule msemko wa KUFA KUFAANA,au umetake advantage au ulikuwa unaitamani au umefurahia matatizo yake.Sidhani kama yeye jirani yako atafurahia hilo.

UKIACHA BUSARA
,KISHERIA SIO KOSA,WALA HAKUNA MADHARA YOYOTE UKINUNUA.
Lakini mpaka umeamua kuuliza huku JF ina maana uko dilemma au kuna nafsi inakwambia usinunue nafsi nyingine inakwambia nunua.Ila maamuzi au umeshachagua upande moyoni mwako wa kununua au kutonunua,hapa unatafuta pengine justification au support ya kufanya kile ambacho umeshakiamua moyoni mwako.Fanya kile ambacho moyo wako utakuwa na amani na furaha,kadiri ya imani yako na utu wako na mahusiano yako na jamii yako.
Asante kwa ushauri mzuri
 
Kuna ubaya wowote kununua nyumba ya jirani inayopigwa
Mnada na bank baada ya kushindwa kulipa mkopo
Haita leta uhasama?
Hapa mtaani kuna jirani benki ili piga mnada nyumba yake 40M , sasa kuna jirani mwingine aka nunua ile nyumba,baada yq siku kadhaa kupita yule jirani ambae alikopa benki ana msumbua jirani alie nunua ile nyumba ktk mnada ana muomba awe ana mlipa kidogo kidogo😇ame kataa na sasa anatafuta mteja maana anaona ana taka kujaziwa watu
 
Kwani nyumba ikipigwa mnada si pesa itakayo uzwa benki ikitoa chake na gharama za mnada kinachobaki siwanampa wenye nyumba?
Kwanza wanafanya figisu mpaka isifikie kiwango anachodaiwa. Pili, Ikitokea imezidi pale mnadani ukienda kudai utaambiwa mteja alikuja kufanya bargaining na unaweza letewa mkataba wa mauziano ambao bei iko chini.
Endapo itatokea kweli pesa ikazidi utakatwa gharama kibaaaaao utajikuta umeambuliwa kiduchu.

Mind you, hii minada ya Benki ndio ulaji wa Bankers na Madalali bei halisi inaongeleka nje ya Mnada kumkwepa TRA na Mdaiwa, pale mnadani is just a comedy.
 
Hapo kuna mawili tu

Kwanza, kama ni mtu unampenda na mnaheshimiana sana inunue kisha umpe

Pili, kama hamko karibu kiasi hicho inunue tu
 
Hapa mtaani kuna jirani benki ili piga mnada nyumba yake 40M , sasa kuna jirani mwingine aka nunua ile nyumba,baada yq siku kadhaa kupita yule jirani ambae alikopa benki ana msumbua jirani alie nunua ile nyumba ktk mnada ana muomba awe ana mlipa kidogo kidogo😇ame kataa na sasa anatafuta mteja maana anaona ana taka kujaziwa watu
Nimejifunza kitu
 
Back
Top Bottom