Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa kwa watu wa tanzania ambao hatueleweki kama ni mabepari au majamaa.BUSARA NI KUTOINUNUA.
Kwa sababu jirani yako hapo yupo amepata matatizo ni matatizo kama msiba au huzuni.
Sasa wewe kama jirani au uliyekuwa jirani yake inatakiwa uonyeshe hisia za kuonyeshwa kuguswa sympathy kusikitika pamoja,kumfariji,kulia naye pamoja ndio UTU,au ubinadamu,au good morals na hasa kwa jamii zetu sisi watanzania tunaishi kijamaa bado tuna elements za kijamaa.
Hata kama hujahuzunishwa na yaliyompata jirani yako unaweza kuigiza kumsikitikia na kumpa pole au kumfariji hata kwa kuigiza.
Pia uki inunua bado kumbukumbu za jirani yako na pengine na yeye ataweza kufikiri,umetumia ule msemo wa KUFA KUFAANA,au umetake advantage au ulikuwa unaitamani au umefurahia matatizo yake.Sidhani kama yeye jirani yako atafurahia hilo.Kwa sababu hakupenda iuzwe au haiuzi kwa ridhaa yake au kupenda au kwa kupanga.Ila inauzwa na BANK kwa kushindwa kurejesha mkopo(MATATIZO/CHANGAMOTO AMEPATA AU MAJANGA).Ni tofauti na kama yeye mwenyewe angeamua kuuza kwa kupenda.
UKIACHA BUSARA
,KISHERIA SIO KOSA,WALA HAKUNA MADHARA YOYOTE UKINUNUA.
Lakini mpaka umeamua kuuliza huku JF ina maana uko dilemma au kuna nafsi inakwambia usinunue nafsi nyingine inakwambia nunua.Ila maamuzi au umeshachagua upande moyoni mwako wa kununua au kutonunua,hapa unatafuta pengine justification au support ya kufanya kile ambacho umeshakiamua moyoni mwako.Fanya kile ambacho moyo wako utakuwa na amani na furaha,kadiri ya imani yako na utu wako na mahusiano yako na jamii yako.
Inunue, halafu unamrudishia huyo jirani yako hiyo nyumba yake kwa makubaliano ya kukurejeshea hela yako kidogo kidogo! Na huo ndiyo ujirani mwema.Kuna ubaya wowote kununua nyumba ya jirani inayopigwa
Mnada na bank baada ya kushindwa kulipa mkopo
Haita leta uhasama?
Ogopa vitu vya minada havina baraka na hujui vimenenewa nini..Kuna ubaya wowote kununua nyumba ya jirani inayopigwa
Mnada na bank baada ya kushindwa kulipa mkopo
Haita leta uhasama?
Basi ainunue kabla ya mnada kupunguza cycle za ulajiInunue, halafu unamrudishia huyo jirani yako hiyo nyumba yake kwa makubaliano ya kukurejeshea hela yako kidogo kidogo! Na huo ndiyo ujirani mwema.
Huu ushauri ni mzuri sana ,na kama utapata neema na imani ya kuutekeleza.Basi utakuwa umefanya jambo lenye baraka,utampendeza Mungu pia utampendeza jirani yako na jamii.Mungu atakubariki,hata jirani atakuombea mema na baraka na kukushukuru,pia atamshukuru Mungu kwa ajilii yako.Inunue, halafu unamrudishia huyo jirani yako hiyo nyumba yake kwa makubaliano ya kukurejeshea hela yako kidogo kidogo! Na huo ndiyo ujirani mwema.
Hii inaweza kuleta shida zingine.. Kama alishindwa kulipa kwa wakati huko alikokopa mpaka kufikia dhamana kupigwa mnada je kwa jirani ataweza?Huu ushauri ni mzuri sana ,na kama utapata neema na imani ya kuutekeleza.Basi utakuwa umefanya jambo lenye baraka,utampendeza Mungu pia utampendeza jirani yako na jamii.Mungu atakubariki,hata jirani atakuombea mema na baraka na kukushukuru,pia atamshukuru Mungu kwa ajilii yako.
Na ndio namna ya kuishi kwa upendo ambao Mungu anatufundisha,na dini zote zinatufundisha upendo kama huu.
Akikiuka makubaliano si itakula kwangu kama ameshindwa na bank kwangu si itakuwa vile vileHuu ushauri ni mzuri sana ,na kama utapata neema na imani ya kuutekeleza.Basi utakuwa umefanya jambo lenye baraka,utampendeza Mungu pia utampendeza jirani yako na jamii.Mungu atakubariki,hata jirani atakuombea mema na baraka na kukushukuru,pia atamshukuru Mungu kwa ajilii yako.
Na ndio namna ya kuishi kwa upendo ambao Mungu anatufundisha,na dini zote zinatufundisha upendo kama huu.
Achana nayo,kama kuna ulazima mtumie mtu wako wa jaribu ainunue kwa niaba yakoKuna ubaya wowote kununua nyumba ya jirani inayopigwa
Mnada na bank baada ya kushindwa kulipa mkopo
Haita leta uhasama?
Sawa kabisa unaweza kusababisha matatizo mapyaAkikiuka makubaliano si itakula kwangu kama ameshindwa na bank kwangu si itakuwa vile vile
Mtu ashindwe kurejesha hela kwa benki mpaka ifikie kumtimua kwake. Ndio mtu huyohuyo aje kukulipa deni kubwa la nyumba???Inunue, halafu unamrudishia huyo jirani yako hiyo nyumba yake kwa makubaliano ya kukurejeshea hela yako kidogo kidogo! Na huo ndiyo ujirani mwema.
ni kweli risky sana na hii inaweza ikapelekea uadui kabisa,mana ukitaka kuonekana mbaya dai chako.Akikiuka makubaliano si itakula kwangu kama ameshindwa na bank kwangu si itakuwa vile vile
Soma vizuri kichwa cha habari. Mtoa mada ameomba tu ushauri! Kwa hiyo ungejikita zaidi kwenye kutoa maoni, badala ya kutaka kutunishiana misuli.Mtu ashindwe kurejesha hela kwa benki mpaka ifikie kumtimua kwake. Ndio mtu huyohuyo aje kukulipa deni kubwa la nyumba???
Hakuna investor mpuuzi wa kufanya hivyo.