Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu nimeona mtwara, mtoto ananunua kitu cha baba au baba ananunua cha mtoto na wanatambiana kabisa.BUSARA NI KUTOINUNUA.
Kwa sababu jirani yako hapo yupo amepata matatizo ni matatizo kama msiba au huzuni.
Sasa wewe kama jirani au uliyekuwa jirani yake inatakiwa uonyeshe hisia za kuonyeshwa kuguswa sympathy kusikitika pamoja,kumfariji,kulia naye pamoja ndio UTU,au ubinadamu,au good morals na hasa kwa jamii zetu sisi watanzania tunaishi kijamaa bado tuna elements za kijamaa.
Hata kama hujahuzunishwa na yaliyompata jirani yako unaweza kuigiza kumsikitikia na kumpa pole au kumfariji hata kwa kuigiza.
Pia uki inunua bado kumbukumbu za jirani yako na pengine na yeye ataweza kufikiri,umetumia ule msemo wa KUFA KUFAANA,au umetake advantage au ulikuwa unaitamani au umefurahia matatizo yake.Sidhani kama yeye jirani yako atafurahia hilo.Kwa sababu hakupenda iuzwe au haiuzi kwa ridhaa yake au kupenda au kwa kupanga.Ila inauzwa na BANK kwa kushindwa kurejesha mkopo(MATATIZO/CHANGAMOTO AMEPATA AU MAJANGA).Ni tofauti na kama yeye mwenyewe angeamua kuuza kwa kupenda.
UKIACHA BUSARA
,KISHERIA SIO KOSA,WALA HAKUNA MADHARA YOYOTE UKINUNUA.
Lakini mpaka umeamua kuuliza huku JF ina maana uko dilemma au kuna nafsi inakwambia usinunue nafsi nyingine inakwambia nunua.Ila maamuzi au umeshachagua upande moyoni mwako wa kununua au kutonunua,hapa unatafuta pengine justification au support ya kufanya kile ambacho umeshakiamua moyoni mwako.Fanya kile ambacho moyo wako utakuwa na amani na furaha,kadiri ya imani yako na utu wako na mahusiano yako na jamii yako.
Ubaya upo..tena roho za mikosi,nuksi,balaa na ukame.Kuna ubaya wowote kununua nyumba ya jirani inayopigwa mnada na bank baada ya kushindwa kulipa mkopo?
Haitaleta uhasama?
NA mwisho unarogwaKibongo bongo ataona wewe ndiyo chanzo cha kufilisika kwake!(mchawi wake) Na ulikuwa unatamani nyumba yake kwa muda mrefu sana
Usinunue itakuwa busara zaidiKuna ubaya wowote kununua nyumba ya jirani inayopigwa mnada na bank baada ya kushindwa kulipa mkopo?
Haitaleta uhasama?
Ainunue ampe afu aka kopee tena sio 😅😅Hapo kuna mawili tu
Kwanza, kama ni mtu unampenda na mnaheshimiana sana inunue kisha umpe
Pili, kama hamko karibu kiasi hicho inunue tu