Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Njoo nikunyoe usipate shida tatizo litakuwa kwako umesema kwenu ndio makata mavi sio ukiyanyoa itabidi uingie chooni na [emoji418] wa kukatia hayo mavi baada ya makata mavi kuyakata.

Kama sivyo utakunya marefu bila shaka maana makata mavi yatakuwa ayajaota hayo makata mavi kwani kwenu wapi huko kwenye hayo makata mavi?

Tanzania kubwa hii na tamaduni tofauti sikuulizi kama mnajitawaza hapa nauliza hayo makata mavi [emoji38]
Mhhhhhh uligraduate wapi mkuu?
 
HIZO ZINATIA NYEGE BALAA,UKIANZA KUZIKATA MBO INADINDA
UNAJUA KWA NN
MBO IMEIONA MKND
 
Mkuu unaweza nyoa tu, na haina madhara yoyote.
Binafsi nilikuwa sinyoi hata kidogo, na mara nyingi nilikuwa naogopa hasa kauli kama hizi za Wachangiaji hapa Jamvini.

Nimeanza kunyoa baada ya malalamiko ya mke wangu, alikuwa akilalamika mno na nikaona isiwe tabu kwasababu mtu pekee anayeuona utupu wangu hapendi kuniona katika hali ya kuwa na mavinyweleo mengi nimejikuta situnzi hizo nywele na kinyozi mhusika ni yeye tena sehemu zote yaani kuanzia kwapa, chini ya kitovu mbele na hiyo sehemu inayokukwaza mkuu.
Na nimejikuta hata kufuga nywele za kichwani sio mpenzi kapisa maana hata mwenza wangu si mtu wa kufuga minywele.

Haya wanayo andika wanajamvi binafsi nadhani yana akisi kile wakifanyacho ama wafanyiwacho.
Staili gani unaweka wakati anakunyoa nyuma!?
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Mi naona ungeweka Picha kwanza ili tujue tunajadili kitu cha aina gani,
La sivyo tutakua tunajadili blindly
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Ushoga huo
 
Watu humu akili hakuna kabisa mwanzenu anaswali badala mummjibu kazi kuwaza kisengesenge tuu
 
Nili wai kuoga mtoni nikiwa mdogo , mbele yangu alikua anaoga mtu mzima kidogo kwaio kainama akiwa ame nielekezea makalio yake " bwana nili ziona hizo nywele za katikati ya matako mmmmmh ni uchafu, ni kero, zina tia kinyaa , " sita sahau ule msitu wa nywele zile yule mzee ana muda gani haku wai kufanya usafi sehemu zile aisee... Bro ! Em zinyoe kama unazo hakuna shida yoyote ni usafi tu...unless ukianza kutembea mtaani una dolishia watu kua umenyoa leo makata mavi kama unavyo yaita hapo sasa kuna shida! Ila ukinyoa uka oga fresh ukapiga zako boxer juu suruali yako safi ... hakuna shida ndio u gentleman huo # CLEAN
 
Zinanyolewa vizuri tu....Zamani niliwahi mtu ....analala chali chini anatanua miguu, unamwekea mto mdogo chini ya makalio ambao utamfanya awe juu juu mnyoaji unainama mbele yake unanyoa tu vizuri....ila naona kujinyoa ni ngumu...kunyolewa ni rahisi mno.
Wengine wanauliza kwa nia nzuri....Mazingira ya Jf rafiki sana ndiyomaana yupo huru kuuliza...
 
Sivipendi hvyo vinywele kabisa kwanza vinaleta kaharufu ila sasa mtihani ni namna ya kuviondoa cjui unakaa style gani kila nikijaribu naona kero, huwa navitoa hata kwa mwaka mara moja
 
Back
Top Bottom