Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Kwa hyo kufuga zile ni usafi au ??

Nimeandika kwa sababu wanaume wengi wamelisahau hili na kuona kama ni uanaume kufuga kumbe sio bali ni katika uchafu ule
Hongera kwa kuachana na ushoga
 
unatumia style gani kunyoa??
Kama unavonyoa wewe tu zile nywele za chini ya korodani na juu yake...

Au kwapani...

We itakuwa hujichambi wewe mana kama unaweza kufikisha mkono kwa kujichamba vipi uulize kunyoa
 
Atakua anajichanua chanuu ili msaidizi wake apitishe wembe
No. Mi nahisi amewasha mshumaa then anachuchumaa kwa style ili usimuunguze[emoji87] hawanyoi kwa wembe[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Usizinyoe ziache tu. Muhimu tumia maji baada ya kumaliza haja kubwa ili kudumisha usafi.
Binafsi hua sizinyoi zamani nilikua nanyoa lakini zikawa zinaongezeka halafu zinakua kipilipili na ngumu.
Hata nywele za kifuani usizinyoe.
Uwe na amani
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Kwa Me:Hapana sababu yoyote ya kunyoa,ila unaweza hamisha hyo akili ya kusafisha nyuma ,ukasafsha mbele(Dushele)

Kwa Ke: Hapo ndo penyewe ,asafishe pote yaani,from back to frontal papuchi[emoji23]
 
Wisdom

If you see a gentleman cleans every corner of his house, keep in mind that he espect a visit few moments to come
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Nikienda nikirudi nakuta vituko ni vile vile jf . kanyoe hamna shida.
 
Siku zote njia ya CHOO Kisichotumika ina majani......mwanaume RIJALI nywele hizo hazikushuhulishi.....
 
Daah?? Ukisikia mtu anakua shoga ndio hivyo hayo matatizo brow maana ni nani atakaekunyoa hiyo zero achana na hiyo habari utakua shoga sasahiv c unajua nyele chipulizi Zakianza kunakua na muasho sasa ukiwa shwa c utataka kukunwa utakunwa na nini
 
Ambao hamtoi makata mavi nna wasiwasi na harufu zenu nyakati za mgegedo.......

Na sidhani kama mfereji wa chemba kama unaoshwa......maana mtasema mnaosha ili iweje na nani aone....

Lol acheni uchafu
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Kwani wee ke mbona unawashwa ivyo
 
Back
Top Bottom