Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Watoe wapi majibu wakati na wao wanayo na wananyolewaga na wenza wao?Wanaume wenzangu hawataki kutoa majibu..
Ntandika uzi ungine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoe wapi majibu wakati na wao wanayo na wananyolewaga na wenza wao?Wanaume wenzangu hawataki kutoa majibu..
Ntandika uzi ungine
Mkuu hii ndo jfMmmmh..!! samahanini jmn, maybe mm ni mgeni na huyo mtoa mada simfahamu kwa nyuzi zake....nimeona ameuliza tu ss kwann tusimshauri kwa ustaarabu au kumuelewesha kwamba kufanya hivyo kunaashilia hik na hik,
unakuta wengine ndo wanakua halafu kwao hawana watu wa kuongea nao kuhusu hivi vitu, aisee nimeshangaa mmemshambulia hadi sio vizuri.
Kwo ushajua cha kufanya cioMkuu we usijiskie vibaya kwa kushambulia kwao hawa watu mie nasoma coment zao huku natabasamu tu mana wanaonyesha uelewa tofauti wa mitaani ...
Nimependa umejaji kwamba mie nimeuliza tu hili suala lijadiliwe kwa upana....
Wana jf hawanipi tabu kabisa kwa haya wanayosema.....
Hapa inaonyesha wengi wa wana jf hufuga hiziKwo ushajua cha kufanya cio
TehehehKwani zimelefuka sana mpaka miguuni,,,,kama zimefka hko nyoa!!!!!shubamit
Kweli aisee shughuli ipoHapa inaonyesha wengi wa wana jf hufuga hizi
Na hawana sababu za msingi za kuziacha mpaka ziwe kubwa au vipi mkkuu?Kweli aisee shughuli ipo
Dah ngoja nikalale, maana nimecheka Mimi , sina mbavu yaani...JF hataree tupu.Kama kwenu mnayaita makata..ma..vi, sasa ukiyanyoa siutajiongezea shughuli ya kuwa unakwenda chooni na kisu....[emoji45] [emoji45] au mimi ndio sijakuelewa vizuri...[emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] sina mpenziMuulize mpenzi wako atakupa jibu maana huku kuchorana sasa
ndio ukiwa hujanyoa hayachomi?Yani ikiwa hayajanyolewa au??
Na wewe unaona sawa mwanaume kuziacha zile eti??
Izo zinasaidia ukijamba ushuzi usilie kwa sauti kubwa yaan kwa kifupi ni kama filter. ..ukizikata tu ujue ata ukijamba ushuzi mdogo utasikika tu hakuna namna