Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
ana lake jamboHahahahahahahhahahahaha.....!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ana lake jamboHahahahahahahhahahahaha.....!!!
HahahaNimecheka si kidogo kwa majibu haya. Duuuh!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jibu swali kwanza..UNATAKA UGUNDUE NINI UKINYOA HIZO NYWELE HUKO NYUMA? Unapata madhara gani usiponyoa???Mkuu nashkuru kwa mchango na swali lako pia...
Nakuuliza tu mkuu hivi tunaponyoa nywele za kwapa tunataka kugundua nini???
JF hainikifu kamwe!
Ha ha ha ha hatariUnapiga msamba halafu unaweka kioo chini...nawaza tu
[emoji23] [emoji23] hii kali rasta za mquntu?Nakushauri usinyoe nije nikutengenezee rasta
hahahaah, Mwanza kwema, leo kumekucha na mvua. karibu sana.Rafiki yake asha wa mkoa unapotea sana. habari za MZA?
kweli tunatofautiana juzi kuna mtu aliniuliza wanaofanyaga waxing huwa wanalalaje ilo eneo likiwa linafanyiwa kazi nikamuuliza umetoa wapi iyo kitu akacheka tu sasa uyu mwingine tena mtoa mada uliwaza nini
"Freedom came my way one dayKunyoa ni kawaida tu wala hakuna ubaya, ujue kuna mambo sisi wanaume tunayafanya kuwa magumu kwa kuwa na mtazamo wa ovyo, yaani hunakuta mwanaume una boxer moja tu, halafu kufua ni shida, m,,v,,z..hunyowi kwa kisingizio cha wanaume, hivi ukinyoa hayo madude ndio unakuwa shoga? mnawatesa wenzi wenu hata katika mambo ya faragha, unakuta mtu unatoa harufu mbaya, badilikene kunyoa sehemu za siri hakukufanyi uonekane unafumuliwa marinda. Kufumuliwa marinda ni tabia tu ya mhusika hata kama ungefuga mi.v.z mwili mzima kama ni shoga ni shoga tu. utabeba hata chuma lkn kama ni shoga utachezea nyeti za wenzio tu. tubadirike wengine hata jeans hamfui eti jeans haifuliwi, ujinga mtupu.