Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
watoto wa kike nasikia hawana hiziWatoto wa kike ndo wanazitoa,
we dume zima unamnyolea nani sasa.😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watoto wa kike nasikia hawana hiziWatoto wa kike ndo wanazitoa,
we dume zima unamnyolea nani sasa.😀
Wanazo mkuu ila ni wasafi tofauti na wanaoona ni uanaume kuacha hizo .....watoto wa kike nasikia hawana hizi
Ha ha ni muhimu kuonesha kielelezo cha mada husika kama mbinu mojawapo ya ufundishaji [emoji125][emoji125][emoji125].Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti baada ya ku-link picha na uzi
Unapiga msamba halafu unaweka kioo chini...nawaza tuNimewaza mkao utakao kuwa umekaa wakati Wa kuzinyoa ha ha ha ha ha
point yako ipo tofauti na mleta mada pitia tena uoneUnataka kutuandikia hapa kuwa tangu uzaliwe hujawahi kata wala kupunguza hivyo vivyweleo?
Hivi kama kupunguza vinyweleo ya kwapani na sehemu ya mbele ni usafi kwanini isiwe hivyo sehemu ya Baja kubwa?
Mbona watu MNA mawazo machafu kiasi hiki!?
Ndo mfereji huo yakhee [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] kama kipago cha manati[emoji85] [emoji85] [emoji85]
mkuu unakaaga staili gani[emoji3][emoji3]Hongera kwa kunyolewa mkuu, mim huwa najinyoa mwenyewe tu!, huo ujasiri wako nimeukubali aise, ni wa kiwango adimu.
Wakati mwingine unatumia rasilimali ulizonazo kwa kuweka karai la chuma watoto wa siku hizi wanaita beseni lenye maji alafu unajipiga chabo wakati unanyoa huku umechuchumaaUnapiga msamba halafu unaweka kioo chini...nawaza tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine wanajibu shombo hapa. .
Wakiwa chobingo wanabong'oa wanazikwangua
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakati mwingine unatumia rasilimali ulizonazo kwa kuweka karai la chuma watoto wa siku hizi wanaita beseni lenye maji alafu unajipiga chabo wakati unanyoa huku umechuchumaa
MwanaumeMleta uzi ni jinsia gani?
Kuna Saluni Moja huku Tabata wanatoa huduma ya kunyoa hizo ndevuWadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
Tatizo gani mkuu wangu...mana ukisema kunyoa ndo unataka paka mafuta sioo kweli bali waweza paka mafuta na nywele zipooo..
Mfano kichwani twapaka mafuta na nywele zipo