Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Naona unataka kupalilia kipele sasa sijui una nia gani au unawashwa washwa? Acha hizo weweee!!!
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau


Kwani boy friend wako anasemaje....anakupenda ukiwa na para makalioni au? Ushauri wetu hapa utakupotosha, msikilize tu boy friend wako.
 
Aise nlishawahi kukwangua hzo nywele nlipata upele kunako huo mfereji aise cji kunyoa ,wacha ziwe km kichaka tu
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Ukijamba utatoa sauti kubwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani jamiiforum kila kitu utakipata,wustaarabu,wavuta bange,wenye mawazo chanya NA mgando dahaa jamani jamani huyu nae sasa dohooo
 
Daaaa JF ukiwa na stress zinaisha, sasa nywele za nyuma unataka uzitoe mtoto wa kiume za nini?
 
Naandika uzi mwinginee kuthibitisha kwamba inafaa na ni usafi kwa mwanaume kutoa nywele zilizopo baina ya makalio mawili
 
Back
Top Bottom