miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Nimewaza mkao utakao kuwa umekaa wakati Wa kuzinyoa ha ha ha ha ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhhaaa... Khaaaaa jamnUngeweka picha mkuu wengine hawajawahi kuona huo mfereji
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hukuzaliwa nazo zitoe Tu ukiziacha we MCHAFU...
namshukuru mkuu kwa kuwafahamishaUngekua jeshi ungekua umepoteza kabisaa USAILI Maana hua tunakagua tusipo kukuta nayo hayo manyoya tunajua tayari umeshaanza tabia za kishoga
Unataka kutuandikia hapa kuwa tangu uzaliwe hujawahi kata wala kupunguza hivyo vivyweleo?unataka kupaka mafuta au ?
and vice versa can be true
Mkuu unaweza nyoa tu, na haina madhara yoyote.
Binafsi nilikuwa sinyoi hata kidogo, na mara nyingi nilikuwa naogopa hasa kauli kama hizi za Wachangiaji hapa Jamvini.
Nimeanza kunyoa baada ya malalamiko ya mke wangu, alikuwa akilalamika mno na nikaona isiwe tabu kwasababu mtu pekee anayeuona utupu wangu hapendi kuniona katika hali ya kuwa na mavinyweleo mengi nimejikuta situnzi hizo nywele na kinyozi mhusika ni yeye tena sehemu zote yaani kuanzia kwapa, chini ya kitovu mbele na hiyo sehemu inayokukwaza mkuu.
Na nimejikuta hata kufuga nywele za kichwani sio mpenzi kapisa maana hata mwenza wangu si mtu wa kufuga minywele.
Haya wanayo andika wanajamvi binafsi nadhani yana akisi kile wakifanyacho ama wafanyiwacho.
Kumbe hata usafi wa mwili wako ni mpaka pale unapokuwa na mgeni?"Ukiona mtu anafanya usafi heavy nyumbani kwake,basi jua anategemea ugeni"
Kuna mwarabu mmoja anadai ye huwa anazifuga na akiwa safarini anasukaga butu moja ili majambazi yakimdaka yashindwe kumbakaHzo zinazuia usibakwe toa uone
Hongera kwa kunyolewa mkuu, mim huwa najinyoa mwenyewe tu!, huo ujasiri wako nimeukubali aise, ni wa kiwango adimu.
[emoji144] [emoji144]Hahhhaaa... Khaaaaa jamn
Siyo Ujasiri Mkuu, ni ile kuheshimu mawazo ya mwenza wangu, maana alianza lalama since tukiwa shule tena O'LEVEL miaka ya 1995 pale Wema ni Chemichemi ya Uzima, akaenda Kilakala nikaenda Ilboru, tukapita The Hill, eo hii tunafamilia kwanini nisijali feelings zake?
Kwanini nimuogope kwenye kuufanyia usafi mwili wangu ambao sehemu kubwa ya maisha yangu umejengwa na yeye?