zamuhalelu
Senior Member
- Oct 5, 2017
- 140
- 138
- Thread starter
- #41
Hahha daaah sawa mkuuIzo zinasaidia ukijamba ushuzi usilie kwa sauti kubwa yaan kwa kifupi ni kama filter. ..ukizikata tu ujue ata ukijamba ushuzi mdogo utasikika tu hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahha daaah sawa mkuuIzo zinasaidia ukijamba ushuzi usilie kwa sauti kubwa yaan kwa kifupi ni kama filter. ..ukizikata tu ujue ata ukijamba ushuzi mdogo utasikika tu hakuna namna
Pole sana [emoji38] [emoji38] jamaa anajua thamani ya kitu anachotaka kukiaribu bwana kumbe kina kazi kwao tena kubwa tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka mpk machozi Loooh
Hilo ni jina tu na wala halina kazi hiyo kiuhalisia...Pole sana [emoji38] [emoji38] jamaa anajua thamani ya kitu anachotaka kukiaribu bwana kumbe kina kazi kwao tena kubwa tu.
utakua na tatizoKwani we hupaki mafuta kwenye nywele za kichwa mkuu ??
Asantee.. Hahaa Aisee kumbePole sana [emoji38] [emoji38] jamaa anajua thamani ya kitu anachotaka kukiaribu bwana kumbe kina kazi kwao tena kubwa tu.
Tatizo gani mkuu wangu...mana ukisema kunyoa ndo unataka paka mafuta sioo kweli bali waweza paka mafuta na nywele zipooo..utakua na tatizo
Basi jinsia zote inatakiwa tutoe...Dah me natoaga na Nair removal zote
Tatizo gani mkuu wangu...mana ukisema kunyoa ndo unataka paka mafuta sioo kweli bali waweza paka mafuta na nywele zipooo..
Mfano kichwani twapaka mafuta na nywele zipo
inshort kunyoa hizo nywele ni viashiria vya ushogaTatizo gani mkuu wangu...mana ukisema kunyoa ndo unataka paka mafuta sioo kweli bali waweza paka mafuta na nywele zipooo..
Mfano kichwani twapaka mafuta na nywele zipo
Mungu aliiumba miilili yetu katika hali ya ukamilifuHata wanawake wanazo mkuu sasa ..
Pia tujiulize kwa nini na kwapani kaweka na tunanyoa au kwapani tusijiulize mkuu??
Mkuu si umeona eeeeh??Na kichwani kama nywele ni ndefu husafishi vizur mba kibao.
[emoji125] [emoji125]Njoo nikunyoe usipate shida tatizo litakuwa kwako umesema kwenu ndio makata mavi sio ukiyanyoa itabidi uingie chooni na [emoji418] wa kukatia hayo mavi baada ya makata mavi kuyakata.
Kama sivyo utakunya marefu bila shaka maana makata mavi yatakuwa ayajaota hayo makata mavi kwani kwenu wapi huko kwenye hayo makata mavi?
Tanzania kubwa hii na tamaduni tofauti sikuulizi kama mnajitawaza hapa nauliza hayo makata mavi [emoji38]
Mkuu si umeona eeeeh??
Sasa kama kichwani tu kunakotoa jasho pakiwa na nywele patoa mbaa je huko njia ya kutokea uchafu waacha nywele hawaa??