Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Mawazo yako yamesababishwa na kunyoa hzo nywele....
Hizo nywele ni muhimu sana ndo maana kiswahili fasa zinaitwa KATA MAVI. SASA WEWE UNAZINYOA MAVI YAKATWE NA NINI
Hoja hii dhaifu mnoo pia nilisahau kuiweka..

Nikuulize

Wanawake hizi huwa hawana sasa wavi wanakata na nini???

Au wale ngozi yao ngumu hvyo haiitaji msaada wa nywele zile kisha sisi iwe bila zile nywele ndo mavi hayakatiki??

Tuna ngozi laini inayoshindwa kukata hatamavi sio??
 
Kwa mwanaume anaezingatia usafi nywele za sehem ya haja kubwa wala sio kikwazo kwake mpaka azinyoe! Cha muhimu ni kuzingatia usafi hasa wakati wa kuoga au ukishamaliza haja kubwa unahakikisha unasafisha na maji ya kutosha na sio kutumia toilet paper.
 
Nilikuwa nayo yakutosha na nilikuwa na mpnz wangu kitambo so alininyoa kwa lazima sanaaa but sikupata madhara Ila wakati yanaota mjomba sehemu hiyo huwasha sana.
Zaidi hakuna shida wewe nyoa tuu ila utajiona tofauti sana hasa wakati wa kujichamba baada ya kunya utahisi kama unasafisha kinywa cha mtoto mchanga
ulikaa style gani
 
Hakuna ubaya, ila ukitokwa vipele huko ndio utaiona shughuli yake.
 
wana jf nadhani wazima mnoo..

Juzi hivi niliandika uzi kuhisu kunyoa nywele za makalio pale kati kati watu wakakoment mnoo wengine wakidhani mimi labda nina element za ushoga .

Ila haya yote wana jf tu wala sikuyatilia maanani....

Waliopinga waliweka hoja zifuatazo

HOJA ZAO:wanasema hii huonyesha uanaume wako bwana sasa ukinyoa unataka kumuonyesha nani ?huoni kama hizo ni katika alama za uanaume?

TIZAMA TUNAWAJIBU:hizi nywele tangu lini zikawa ndo kiashiria cha uanaume?
Kati ya hizi nywele na ndevu zipi zaonekana na watu na pia ikawa zinawaota wanaume tu?

Jibu ni ndevu ..sasa kwa nini isiwe uanaume wako ni ndevu ambazo zamuota mwanaume tu kisha isitoshe zinaonekana hata ukivaa nguo??

Sasa hizi nywele ukivaa nguo au ukivua je zaonekana wakati gani??

Jawabu wakati umevua nguo bila shaka..
Sasa uanaume gani wa kuonyesha wakati umevua nguo kama sio uchafu tu ule??

Sasa munaonyesha kwa namna gani uanaume huo je mnawaonyesha hao wake zenu kwa kuwafunulia au vipi??

Wnasema eti ukinyoa zile wataka azione nani??

Kwani ukifuga wataka azione nani atakaefurahia hzo nywele??

Hamuoni kama hizi nywele sio kiashiria cha uanaume wala uanawake bali zitolewe?

Alafu kama zile ni uanaume mbona za mbele twanyoa?

Uchafu ule ...

WANASEMA TENA ETI:ukinyoa zile ni vipele vinaota...sawa mbona wapo wanaonyoa ndevu na vipele vinawaota na bado wananyoa??

ETI WANASEMA:mwanaume ukitoa zile basi ni katika dalili za kuingiliwa nyuma..

JAWABU:kumbe hizi lengo la kutoa kwake ni kuingiliwa nyuma jamani?

Kwa hvyo wanawake wanazitoa ili waingiliwe nyuma kwa mantiki hii au wanazitoa kama ni kufanya usafi??

Au wanataka kutuambia kwamba kwa vile wanawake wanazitoa basi ndio ruksa ya kuwaingilia nyuma ??

Kama sivyo basi hata mwanaume azitoe pia..
Vipi kichaka kinachozunguka mlango wa kutolea uchafu kisifyekwe??

Wanaume tuacheni uchafu asee sio uanaume ni uchafu ule bhana..

Alafu uanaume gani wa kuwa alama yake ni makalioni tena kati kati??
Sasa ili mtu aamini hufanywi shoga itabidi umfunulie ili aone au??

Kuzitoa kwa wanawake haina maana ndyo ruksa kwaingilia kinyuma bi wanazitoa kwa usafi...

Jamani kwapa linatoa uchafu gani zaidi ya jasho?
Mbona nywele za kwapa tunazitoa kwa kusema uchafu??

Haya kule kunatoa kinyesi vipi tusizitoe wakati kinyesi ni kichafu kuliko kwapa???

Kama sio uchafu kitu gani jamani?????

JAMANI KATIKA WATU WANATABASAMU KWA POVU MIE NAMBA MOJA....

LETENI HOJA ZINGINE SIO KWA HIZI BWANA
 
Kwa mwanaume anaezingatia usafi nywele za sehem ya haja kubwa wala sio kikwazo kwake mpaka azinyoe! Cha muhimu ni kuzingatia usafi hasa wakati wa kuoga au ukishamaliza haja kubwa unahakikisha unasafisha na maji ya kutosha na sio kutumia toilet paper.
Kwa hyo hata zile za kwapa mkuu haina haja ya kuzitoa ikiwa tutazingatia usafi wa kuziosha vizuri au vipi mkuu???
 
wanaume tunapofanya usafi huwa tunategemea ugeni

vipi unamuandalia nani ??

au ndio unapalilia shamba??
 
Pia sio kila kitu lazima usome na kucoment

Kisicho lazima kuandikwa sio lazima usome na kukoment....
Umekiandika cha nini sasa!? Ungeliendea bafu kusafisha mazingira ingekua bora zaidi ya kuwashawishi wengine na hii yote ni sababu ya wavulana wa sasa kuto pitia jando
 
Ukinyoa utakuwa kama wale watu wakuuza zile tigo bando washell
 
Umekiandika cha nini sasa!? Ungeliendea bafu kusafisha mazingira ingekua bora zaidi ya kuwashawishi wengine na hii yote ni sababu ya wavulana wa sasa kuto pitia jando
Kwa hyo kufuga zile ni usafi au ??

Nimeandika kwa sababu wanaume wengi wamelisahau hili na kuona kama ni uanaume kufuga kumbe sio bali ni katika uchafu ule
 
Back
Top Bottom